Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Boxer umezunguuka nayo wee, usiku unaoga, unarudia boxer hiyo hiyo, mkiulizwa mnasema mwanaume unakuaje na boxer nyingi, je hicho sio kichaa? nyie ndio mnaumwa fungus kisha mkikutana na wadada...
6 Reactions
6 Replies
486 Views
Nimejaribu mzigo OG wa Denim, Levi's na Lee zote lazima zichuje rangi, ila ukweli hizi zitachuja mdogo mdogo tofauti na zenye ubora mdogo. Utakuta wafanyabishara wezi wanawaaminisha wateja wao...
9 Reactions
20 Replies
533 Views
Wakuu, Nimekuwa nikikutana na hiki kitu kinaitwa Shower gel/body wash kwenye maduka ya vipodozi,nini kazi yake na ina tofauti gani na sabuni ya kawaida ya kuogea? Na Je jinsia yoyote wanaweza...
4 Reactions
16 Replies
17K Views
Salaam wakuu. Binafsi Sina lengo la kumharibia siku mtu ,au kumkejeli mtu lakini wakuu suruali kwa wanawake wembamba ni kama wanajidhalilisha Naelewa kwamba wanataka wapendeze, waende na wakati...
5 Reactions
13 Replies
608 Views
Jana ilikuwa siku ya wandwanao maandalizi yalikuwa mengi huko magetoni.. Hasa usafi kwa ajili ya maandalizi Shughuli ya usiku wa jana imewaacha wengi wakiwa hoi na uchovu mwingi na wengine muda...
3 Reactions
12 Replies
317 Views
Izi nywele za sehemu za siri tunyoe wakuu zinatoa harufu at least tupunguze
2 Reactions
4 Replies
262 Views
Kumekuwa na uvaaji holela wa mavazi ya wanaume na wanawake. Ila naomba kujua haya kwa wanaume 1. Mkanda huwa utapita kulia kutokea kushoto au kushoto kutokea kulia 2. Shati/tshirt- urefu wa...
3 Reactions
3 Replies
945 Views
Wale waliosema black is beauty hawakukosea hata chembe na walikiona hicho wanachosifia katika uhalisia wake Wanawake weusi bila kupepesa ni warembo na wazuri hasa wanapokuwa natural na vipodozi...
58 Reactions
245 Replies
9K Views
Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa, mimi nina Perfume Nail cutter Lotion Body spray Lip gloss Aftershave Tweezers bila kusahau mafuta ya nywele So what am I missing here?
6 Reactions
129 Replies
3K Views
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?
62 Reactions
3K Replies
675K Views
Jamani hebu tuelimishane. Misuko inayopamba vichwa vya dada zetu wa kiafrika inaitwaje? Mwenye kutambua majina yake basi atuorodheshee tupate shule.
2 Reactions
29 Replies
36K Views
I’m planning a trip soon and realized I’m a bit stuck on what to wear. Does anyone have recommendations for comfortable yet stylish travel outfits? I’d love tips for outfits that work for walking...
3 Reactions
4 Replies
331 Views
Wakuu. Upi mtazamo wako kwenye bei inapokuja swala la kununua mavazi, nguo au mikoba nk? Kuna viatu vinauzwa zaidi ya $200 (zaidi ya Tsh 500,000) wakati kiatu iko iko kwa muonekano unakipata...
11 Reactions
75 Replies
2K Views
Sijui ata brand izi zilipotelea wapi. Ila enzi zake zilisumbua sana. Phat Farm: Hawa walikua na nguo, na viatu. ((P)) FUBU DADA: Hawa majeans yao yalikua na mifuko ya nyuma mikubwa, kaunta...
13 Reactions
71 Replies
1K Views
Kwa wanaume tu naombeni mnipe sifa zangu. Ila mimi ni single mama
16 Reactions
231 Replies
3K Views
Cap. Kapero. Ni moja ya mavazi yanayopendwa sana ulimwenguni tena na watu wema. Lakini kwa nchi yetu, vazi hili binafsi nimekuwa nikilinasabisha na uhalifu. Mara kwa mara matukio haramu ya...
6 Reactions
17 Replies
733 Views
Hi wanaJF na wanafashion designers, Naomba msaada wenu kwa mafundi wa suti Dar. Nataka kushona suti nzuri kabisa Kwa event ambayo nitahudhuria October 2025. Bei take ni kiasi gani nikiwa na...
4 Reactions
4 Replies
910 Views
Ukiondoa saa ya kuonyesha muda na pete ya ndoa. kuna watu huvaa vito mbalimbali kama vile cheni, bangili, pete, hereni, hadi meno ya mapambo yaliyopambwa kwa dhahabu, almasi au fedha.
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Jamani naiulizia lotion ya Jambo ambayo ilikuwa maarufu miaka ya 2000. Niliitumia na niliikubali kwa kiasi kikubwa. Lakini bahati mbaya sijaitia machoni siku nyingi. Je, bado ipo na inapatikana wapi?
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…