Hello! Naomba kufahamu mafuta mazuri ya kiume maana natoka vipele vidogo vidogo usoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Si vibaya pia kwenda kwa wataalam wa ngozi maana mwingine atakwambia tumia mafuta ya Podoa, all in all vasseline ni nzuri pia
Si vibaya pia kwenda kwa wataalam wa ngozi maana mwingine atakwambia tumia mafuta ya Podoa, all in all vasseline ni nzuri pia
hivi ni sahiih kwa mwanaume kupaka mafuta.
Mwanaume unapaka upupuhivi ni sahiih kwa mwanaume kupaka mafuta.
wanaume wanapaka maji ya upupuhivi ni sahiih kwa mwanaume kupaka mafuta.