Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 646
- 945
Habari zen wakuu...jamani eeh nipo kwenye baridi yaani hata upake mafuta ngoma inadunda..yaani napauka mpaka nahic ngozi inachanika...nimeambiwa nipake glycerine je hiyo kitu haina madhara? Haichubui?
Tena nimeambiwa nipate ya Zambia..nimeenda kuulizia madukani zipo kibao alafu buku tu ila nimeona nije niulize humu kwa wajuzi kabla ya kuanza kuoga hizo glycerine
Tena nimeambiwa nipate ya Zambia..nimeenda kuulizia madukani zipo kibao alafu buku tu ila nimeona nije niulize humu kwa wajuzi kabla ya kuanza kuoga hizo glycerine