Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi! Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
3 Reactions
43 Replies
7K Views
Ulishawahi kujiuliza labda ndani ya 60s, 70s, 80s au 90s kwamba kipindi hicho kama wanaume walikuwa wakipagawa na makalio makubwa ya wanawake kama ilivyo sasa? Je, wanawake pia waliweza...
10 Reactions
221 Replies
16K Views
Habari ya 'weekend' wakuu? Mimi nimekuwa mpenzi sana wa uvaaji kofia. Na kofia ninayoipendelea zaidi ni zile wazungu waziitazo Ivy Caps. Lipo jambo moja ambalo nimelishuhudia tangu ninakua, ni...
5 Reactions
168 Replies
64K Views
Tuambieni wewe ni handsome au gentlemen? Haya tuanze kuwapima watu kama mnajua kutofautisha hii misemo
4 Reactions
68 Replies
6K Views
Hello dears kwa aliyewahi tumia Lotion ya Kanza naomba anipe mrejesho.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nini siri ya wanawake na mabinti wa siku hizi kupenda kujitoboa pua na kuvaa vipini?
2 Reactions
30 Replies
9K Views
Sina Nia ya kuishusha heshima na thamani ya mwanamke! Ila najiuliza... Hivi mwanamke ili uonekane mrembo ni lazima ujitoboe toboe kila sehemu ya mwili wako? Dada yangu Ili uonekane Unique ni...
0 Reactions
2 Replies
575 Views
Wakuu nataka nitafute moja Kati ya lotion hizi mbili. Je, ipi ni nzuri zaidi?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
MUONEKANO Muonekano wako ni muhimu sana katika haya maisha yetu ya sasa. Kuvaa kwako ni muhimu sana na kunaongeza thamani ya utu wako. Kuna watu wanavaa tu ili mradi wamevaa lakini kuvaa vizuri...
9 Reactions
30 Replies
6K Views
Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima...
62 Reactions
486 Replies
55K Views
Kweli sio jambo zuri kuuchukia muonekano wako. Mtu mzima na heshima zake, hapaswi kutembea huku akijishtukia kuhusu umbo la pua yake ya kwamba watu watalitambua na kulizingatia. Au mdada mzuri...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa..natumaini wote ni wazima Hizi siku mbili tatu nimepata changamoto kwenye nguo zangu.Nguo zinabaki na madoa baada ya kuzipiga pasi,mpaka sasa nguo kama tano hivi zina madoa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Members wote nawasalimu katika jina la JF, Kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "Wanaume orignal tumebaki wachache" hii ina ka ukweli. Huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa...
13 Reactions
102 Replies
6K Views
Wanamke kutamani kutembea uchi ama kuonesha maumbile na makalio yao:- (a) Wanasukumwa na nini nafsini mwao? (b) Lengo lao ni nini? (c) Ili wapate nini?
8 Reactions
49 Replies
8K Views
Mweny kuifaham na mtumiz wa hii perfume anihakikishie kama ipo vizur ili fedha nisiijutie...[emoji3]
3 Reactions
44 Replies
7K Views
Dah baada ya mihangaiko ya wiki nzima, leo nilivyoamka asubuh ndo nikagundua jinsi gan geto lilivo chafu. Asee mara ya mwisho kusafisha ilikua mwezi uliopita. Mabachela wenzangu mnachukuaga mda...
2 Reactions
11 Replies
984 Views
Wakuu anayejua chimbo la hii bidhaa kariakoo aniambie wale wa msimbazi hizi wanazitoa wapi?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawasalimu, Husika na kichwa hapo juu. Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii...
19 Reactions
170 Replies
15K Views
Wakuu nipeni ujuzi hapa.. viatu vya ngozi kama hv naosha kwa kutumia maji ya kawaida, valve/spay, au Sabuni..? Nipeni utaalamu maana naweza kuviharibu hv viatu paso kujua..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom