Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Nawasalimu,
Husika na kichwa hapo juu.
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.
Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.
Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.
Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.
Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.
Dtila.
Husika na kichwa hapo juu.
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii.
Unakuta mtu akiona wasanii wa nje na yeye anataka avae kule kwao Mavusha. Pia wamekuwa wakiiga nguo za wasanii wanazovaa bila kujua nguo na mazingira.
Sio kila nguo ni ya kuvaliwa ukiwa kama binti au mwanadada unaejielewa. Sasa kumekuja kamtindo fulani ka vitaiti na li fulana likubwa kwa juu.
Utakuta mrembo anatembeza vipaja nje alafu kwa akili zake anaona amedamshi.
Hizi "Fashoni" zinawapele kapeleka tu.
Dtila.