Huyu ni yule mpenzi wako ambae kila ukiongea nae unamuona kabisa ni yule wa kwashida na raha. Leo amekutaarifu kuwa anakukaribisha chakula kwao.
Umetoa ile nguo ya mwisho kabatini ile uliyolipa...
Hakuna cha mzuqa,
Utakuta ni warembo tu with a fat gene lakini wanajikongoroa miili yao kwa kutokula ama kushinda na apple na maji ili wamaintain kukongoroka wenyewe wakidhani ni warembo kumbe...
Tukubali au tukatae lakini ukweli utabaki kuwa pale pale.
Wadada wote wenye nywele za bandia wana asili ya uchafu narudia asili ya uchafu. Nasema ni wachafu kwasababu nnapokwenda kuoga maji na...
Habari za mchana waungwana,
Huwa najiuliza huyu aliyevumbua bra aliwaza nini? Hebu fikiria kusingekuwa na bra hivi tungeishije wanawake...
Yaani bila bra wengine tusingetoka ndani...
Kudos kwa...
Mmoja wa hao warembo ni huyu hapa chini anayeitwa Damaris Lewis kutoka Brooklyn New York. Ni mwanamitindo anayesifika sana.
Halafu kuna huyu anayeitwa Arleni Sosa Pena...
Eti binti kwasababu amempa Yesu maisha (ameokoka) basi ndo haelewekiiiiii,[emoji134].. Uso alishaacha kupaka hata kapoda tu! Wanja ndo kabisa hagusi eti una mapepo, tehe;[emoji16]
Ukimkuta mdomo...
Naombeni wadada tushee idea ya stlyle nzuri za kusuka msimu huu wa sikukuu.
Maweaving naona kama yanachosha pia joto sana rasta nazo vilevile.
Tutoke vipi? Naomba tupeane ushauri hapa
Ndugu wana jamvi, nawasalimu nyote,
Leo ni Jumpili, na maeneo nilipo ni njia inayotumika sana kupita watu wakienda kusali, Jana walipita wasabato nawacheki! Na leo walokole, maana makanisa yao...
Wana ndugu majuzi nilikuwa airport kumpoke aabiria wangu gafla nikaona vijana wawili wote wamevaa hereni si mbaya...ila kuna mwingine huyu alikuwa amevaa kikuku kwa wale wanaojua ni hereni za...
Warembo wangu mnatumia jinsi gani ya kupaka rangi ya mdomo?
Zifuatazo ni mkusanyiko wa picha za tutorials za kumake up mdomo.
(Warembo wa drama za Kikorea hupaka kama hivo)
(Rahisi mno!)...
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua...
Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena.
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara...
Naomba kujua ni lotion gani nzuri ya kukinga mionzi ya jua, jua likiwa kali uso wangu kwenye mashavu nakuwa mwekundu, mi napaka mafuta ya mgando mwili mzima, sasa nimeona nahitaji lotion au mafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.