Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji. Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima...
11 Reactions
54 Replies
4K Views
Habari zetu, Mimi nina makovu miguuni na mikononi yaliyosababishwa na vipele vya allergy, nitumie nini yaweze kuisha sitaki kutumia mafuta makali. Mimi ni mweupe wa kawaida. Sent from my vivo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hazinyolewiiiii
22 Reactions
256 Replies
27K Views
Mwanaume ni sifa, mwanaume ni kiongozi ebu ifike hatua wanaume tujitambue na tutambue nafasi zetu katika jamii. Hii tabia ya wanaume kuvaa vinjunga inaniboa sana, yaani sasa hivi kuvaa vinjunga...
12 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu, Hili jambo limekuwa likinishangaza sana, mwanamke anaetengeza nywele zake natura anaambiwa mbona hujasuka, ingekuwa rasta ndio ingekuwa sawa na ungependeza, ingekuwa wigi ndio ungekuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Morning Wanaume acheni uchafu yaani unakutana na jianaume hajaoga na wiki mbili ananuka halafu anakazana kujipulizia perfume, mkikataliwa mnaaza kusema wanawake wanajishaua. Mwanaume kuwa msafi...
14 Reactions
112 Replies
8K Views
Habari, kwanza niipongeze serikali kwa kufungia tovuti zote za video za porn( maarufu kama X videos) uamuzi huo umefikiwa leo tarehe 19/7/2021, ambapo tovuti zote za ngono zimekuwa burned na...
6 Reactions
61 Replies
15K Views
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha...
10 Reactions
91 Replies
22K Views
Unapenda kutumia njia ipi kati ya hizi kukata kucha zako na ni njia ipi ni SALAMA? 😆
5 Reactions
45 Replies
3K Views
1. Ulikuwa na umri gani na ni nini kilisababisha kujua kuwa wewe ni mrembo? 2. Baada ya kujua wewe ni mrembo ulichukua uamuzi gani? 3. Je, unadhani urembo wako umekupa faida gani ya msingi...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa. Kwa...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Hawa jamaa wapo huku social media nyingine x,Facebook, instagram wanakwenda kwa Jina la dinya smart wanauza nguo kali vibaya mno (na we unaweza kupitia huko social media accounts zao ujionee )...
1 Reactions
7 Replies
652 Views
  • Closed
Hivi wadau kwa hapa Dar es Salaam naweza pata wapi sehemu ambapo wananyoa kwa ustadi nywele hasa za kifuani, kwapani na sehemu za siri. Mara nyingi nikijinyoa mwenyewe ninatokea kujichana au...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani sisi wanaume tumechoka kutafuta affordable decent clothes, shoes, bags even designer clothes. It seems watu wanawaza wanawake tu wakidhani hao ndio wakuvaa nguo tu na kupendeza sisi tuwe...
7 Reactions
57 Replies
4K Views
Huu ni mshono wa wanaume au wakike na sababu gani uliitwa hivyo? Wabobezi wa historia mnaweza kutusaidia. Kaunda suti najua ni sababu ya Rais wa Zambia ambao itakuwa sana na chunlai.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanaume kuvaa visuruali vya kuwabana, inamaanisha nini? tunajua wadada huvaa vinguo vya kuwabana ili kuwaonesha wanaume maumbile yao; je, mwanaume naye huwa ana lengo lipi? Nasema hivi...
9 Reactions
77 Replies
5K Views
Habarini waungwana katika jukwaa hili tukufu la utanashati na ulimbwende, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mlolongo wa tiba lishe, madawa, na mbinu nyinginezo za kupunguza uzito wa mwili, jambo...
1 Reactions
316 Replies
65K Views
Nimekuwa nanyoa ndevu mara kwa mara kwakuwa kibarua changu hakiruhusu kuwa na ndevu. Sasa nimeanza kutokewa na weusi. Nini nifanye ili nisiwe na weusi baada ya kunyoa ndevu? Naombeni mbinu
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumia Black shine ila sio kivile, once per month mpaka miwil/mitatu. Shampoo ndo natumia mara nyingi. Nimejaribu kufikilia shida itakua ni nini sijapata. Pia nfanyeje wanandugu maana mpaka...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hello comrades Naomba ufafanuzi kuhusu maada tajwa hapo juu. Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom