Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 713
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8.
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8.
Je, kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume.
Msaada tafadhali!
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8.
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8.
Je, kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume.
Msaada tafadhali!