Mnakamia sana make up hadi mnageuka kituko. Mnasiliba mno hadi inakuwa kituko.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Shogangu sawa humudu make up ya kisasa, si utafute tu hata poda ya kuendana na ngozi...
Wakuu,
Kuna hii taarifa hapa na hata jana tu simesikia, dada kaweka nywele zake dawa akisema akichoka kuwa na nywele hizo zenye dawa basi ataziosha kwa kutumia kinywaji cha Coca-Cola na nyele...
Habari wapendwa.ninaimani mko salama salimini.
Naomba msaaada wa kujua zilipo ofisi/duka la oriflame/sehemu ninapoweza kupata vipodozi vya oriflame 😊
Natanguliza Shukrani
Chakorii 🤸♀️🤸♀️
Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na...
Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu,
Nasema na wewe dada /kaka ambaye unapenda kuvaa nguo nyeupe ila mchafu...
Najua unapenda nguo nyeupe Ile wewe mchafu hazikupendi...
Unalazimisha Nini...
Hivi wanawake mnajua kwamba mkijipaka hayo mnayojipaka kupitiliza mnapoteza kabisa maana.
Yani ni mayai sijui mnajimwagia..
Halafu unaposimama mbele ya watu kuhutubia. Mambo ya msingi kabisa...
My Take
Toa Kenya,Ghana na Zimbabwe Kwenye list weka Eritrea,Burundi na Madagascar
https://twitter.com/zoomafrika1/status/1695778429856014649?t=jggqQmSCeSPS5NYzHq9MxA&s=19
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kumekuwa na fashoni ya kunyoa nywele kwa wanawake na wadada.
Yaani wananyoa halafu wanapaka na bleach kwenye nywele.
Wanaopendeza sana...
- Mwanaume usijimalize kama yule jamaa wa Mwanza, ni ujinga lakini tutaendelea kuelimishana
- Mwanaume ukijipenda...
Mwaka 2013 TV one palikuwa na kipindi kinaitwa Boys Boys kilichokuwa...
Hbr zenu wandugu, hope mko poa.
Mimi ni maji ya kunde kidogo na my skin is a little bit dry kwa sasa nataka nianze kupaka palmers body cream and oil pamoja na face cream yake.
Kwa anaye yajua...
Wakuu habari za majukumu, binafsi ninasumbuliwa sana na mba kwa miaka mingi ni mba wa kichwani unashuka hadi usoni. Nimeshatumia dawa za pharmacy zinanisaidia kwa muda mfupi then unarudi tena...
Habarini za Ijumaa wana mazoezi na wadau wote,
Eti kujipulizia unyunyu muda wa kwenda mazoezini huwa kuna muingiliano na performance nzuri kwenye mazoezi?
Unakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii...
Habarini wana jamii,
naomba msaada wa kuyajua haya mafuta tajwa hapo juu. Nahitaji mafuta mazuri ya kung'arisha mwili mzima ambayo ntachanganya na lotion au ntapaka juu yake.
Nataka kufahamu...
Habar zenu.
Mwenye kujua dawa ya kutoa michiriz mwilini kwa haraka tafadhali maana inanikera na sijui nipake kitu gani itoke, inaninyima confidence kabisaa
Kama dermatologist yupo anisaidie...
Hey Guys! Mmeshindaje?
Nimenunua hii lotion leo, kwenye instructions naona imeandikwa “ smooth on hands and body as often as needed..”
Ina maana haifai kwa matumizi ya uso? Inaleta madhara...
Habari za wikiendi?
Naomba kuuliza wadada/wanawake wote hasa wa Tz imezuka tabia mbaya sana ya kuacha mabega wazi kwa magauni/blauzi zao?
Lengo ni kitu gani waonekane wana Chuchu saa 6...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!
Kwanza kabisa nipende kuchukua nafasi hii kusema ya kwamba ujumbe huu si kwa wanawake wote bali ni baadhi ya wanawake tu.
Kumekuwa na wimbi kubwa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.