Kwanini nywele za mawigi au rasta huoneka smart kuliko nywele natural?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,626
Wakuu,

nywele111.jpg


Hili jambo limekuwa likinishangaza sana, mwanamke anaetengeza nywele zake natura anaambiwa mbona hujasuka, ingekuwa rasta ndio ingekuwa sawa na ungependeza, ingekuwa wigi ndio ungekuwa smart. Siku mwenye natura akisuka rasta anaambiwa sasa leo umesuka? Kwanini iko hivi?

nywele111111.jpg


Lakini pia kwanini nywele natural hizi kipilipili mtu akifuga nywele ndefu au akawa ras kwa jinsia zote mbili hainekani kama mtu yuko smart hata kama nywele ni safi na zimetunzwa vizuri? Nadra sana kuona mtu amefuga nywele kama ras na akawa anafanya kazi katika ofisi umma. Kama ndio asili ya nywele zetu na mtu anazitunza vizuri kwa usafi kwanini inaonekana haifai kwenye sehemu rasmi?

ras.jpg


Nakumbuka kipindi tuko shule (za serikali) ilikuwa marufuku kwa wasichana kusuka, lakini wenye asili ya kiarabu walikuwa wanaruhusiwa kuwa na nywele ndefu hata kwa wavulana wakisema hiyo ni asili ya nywele zao! Nywele

nywele1.jpg
nywele11.jpg


Kuna shida gani na mtu kuwa na nywele natural?
 
Mawigi sio mazuri hata iweje labda mtazamo wako.

Hayo madude mengi yanatoa harufu yana uchafu kwa sana ....Hayana mzuka kabisa mi naona kinyaaa .
 
Hizo picha nyingi ni za wale wanaonunua wigi za bei kubwa kama nywele halisi ila za wengine zile cheap ni za kondoo toka China the difference is clear
 
Wanawake wa kwenu ndio hupendeza na mawigi sababu ni wabaya hatari

Ulishawao ona Mshindi wa Miss Tanzania au Miss World mwenye wigi kichwani

Mleta mada utakuwa na sura mbaya ndio maana unavaa mawigi
 
Wanawake wa kwenu ndio hupendeza na mawigi sababu ni wabaya hatari

Ulishawao ona Mshindi wa Miss Tanzania au Miss World mwenye wigi kichwani

Mleta mada utakuwa na sura mbaya ndio maana unavaa mawigi
Mshamba huyo hajui mawigi hayana mzuka kabisa ndio maana kila siku wanabadilisha ,sasa akiwa mkeo usiku akilivua unaona kama kinyago maana kazoea manywele bandia.


Wazazi wetu walikuwa natural na ndoa zao zilidumu ila sasa mawigi yameleta utapeli.
 
Wakuu,

View attachment 2753171

Hili jambo limekuwa likinishangaza sana, mwanamke anaetengeza nywele zake natura anaambiwa mbona hujasuka, ingekuwa rasta ndio ingekuwa sawa na ungependeza, ingekuwa wigi ndio ungekuwa smart. Siku mwenye natura akisuka rasta anaambiwa sasa leo umesuka? Kwanini iko hivi?

View attachment 2753173

Lakini pia kwanini nywele natural hizi kipilipili mtu akifuga nywele ndefu au akawa ras kwa jinsia zote mbili hainekani kama mtu yuko smart hata kama nywele ni safi na zimetunzwa vizuri? Nadra sana kuona mtu amefuga nywele kama ras na akawa anafanya kazi katika ofisi umma. Kama ndio asili ya nywele zetu na mtu anazitunza vizuri kwa usafi kwanini inaonekana haifai kwenye sehemu rasmi?

View attachment 2753174

Nakumbuka kipindi tuko shule (za serikali) ilikuwa marufuku kwa wasichana kusuka, lakini wenye asili ya kiarabu walikuwa wanaruhusiwa kuwa na nywele ndefu hata kwa wavulana wakisema hiyo ni asili ya nywele zao! Nywele

View attachment 2753177View attachment 2753178

Kuna shida gani na mtu kuwa na nywele natural?
Bandia zina polish ya kudumu
 
Wanawake wa kwenu ndio hupendeza na mawigi sababu ni wabaya hatari

Ulishawao ona Mshindi wa Miss Tanzania au Miss World mwenye wigi kichwani

Mleta mada utakuwa na sura mbaya ndio maana unavaa mawigi
Umesoma uzi kweli Mkuu?
 
Watu wajaelewa uzi wameshioa neno wigi tu mtoa mada anachozungumza kina mantiki achana na wigi kofia mnazowaza angaliani hizo oicha Hapo za misuko Ni za nyele za kuunga mwanamke yeyote akisuka anapendeza ndicho anachosema mtoa mada ninyi akilo zenu munawaza wigi zile ukizitoa anabaki kipara
 
Back
Top Bottom