Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Madaktari wa Mifugo: Ng'ombe amekata maziwa ghafla to zero level All of a sudden amekata maziwa. Mchungaji anasema uchangamfu aliokuwa nao umepungua. Inaweza kusababishwa na nini? And what is the...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wadau na wajasiliamali. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nataka nianze ufugaji pia wa hawa chotara. Naomba kuuliza ni baada ya muda gani naweza kuvitoa vifaranga nje vikashinda kisha...
1 Reactions
2 Replies
802 Views
Nahitaji mbegu bora ya nguruwe morogoro
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta wateja wa bata wa kienyeji Madume 25,000 Majike 20,000 Mbagala charambe ndipo nilipo
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nitumie dawa gani ambayo itaua magugu yote ndani ya shamba la mahindi na kuacha mahind intact (selective one)
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini Wanajf Naomba kuelekezwa namna ya matumizi ya dawa za kuangamiza magugu sinazofahamika kama palizi. Nimelima alizeti maeneo ya Dodoma. Mimea ya Alizeti ilikuwa na magugu, nikaelekezwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Nahitaji eneo lenye ukubwa wa Ekari 3 kuendelea hata 5 au 6 sio mbaya kwaajiri ya kukodi na kama tutaelewana naweza kubaliana kufanya manunuzi. Nataka liwe maeneo ya kuanzia kibaha hadi...
0 Reactions
2 Replies
538 Views
Je, wataalamu mbatushauri nini kuhusu ufugaji wa samaki kibiashara ukihusianisha na mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa?
2 Reactions
3 Replies
575 Views
MBUNGE BAHATI NDINGO, Mbunge wa Jimbo la Mbarali Akichangia Bajeti ya Wizara ya Kilimo ya Shilingi Trilioni 1.2 Mwaka Mpya wa Fedha 2024-2025 "Natoa pongezi za dhati kwa Wizara ya Kilimo kwa kazi...
0 Reactions
2 Replies
585 Views
Mbunge Nicholaus Ngassa Aeleza Jinsi Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Akimpongeza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein...
0 Reactions
1 Replies
504 Views
MHE. TIMOTHEO MNZAVA, Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mwaka Mpya wa Fedha 2024-2025 Bungeni Jijini Dodoma Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
MBUNGE SUMA FYANDOMO: RAIS SAMIA ALITOA RUZUKU NA BEI YA MBOLEA IKASHUKA KUTOKA TSH. 150,000 MPAKA TSH. 60,000/KILO "Nampongeza sana Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Amir Jeshi Mkuu kwa...
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Habari za weekend wakuu poleni na majukumu ya wiki nzima… Niende kwenye mada, nina eneo la kutosha na lenye banda la kisasa maeneo ya CHANIKA-Dar nimeanza ufugaji wa Ng’ombe kwasasa yupo mmoja...
0 Reactions
4 Replies
932 Views
Where can i get seeds for bismarckia nobilis palm shown below Francis WhatsApp +254 721 663 208
1 Reactions
5 Replies
601 Views
Rejea Pt 1 hapa kilimo cha alizeti [emoji116][emoji116][emoji116] https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/Naingia-Shambani-very-serious-kulima-Alizeti.1928043/ Msimu huu nataka kulima...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
RC KATAVI, MHE. MWANAMVUA MRINDOKO: Uzalishaji wa Chakula Mkoa wa Katavi Waongezeka UJUMBE WA RC KATAVI KWA WATANZANIA KUHUSU MAZINGIRA WAKATI WA MAAHDIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNANO. Mkuu wa Mkoa...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Habari, Nimenunua mbuzi lakini kinyesi chake sio Kama mbuzi wengine naomba msaada nielewe shida nini
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Members habari naweza kutajirika kupitia ufugaji na kitu gani Cha kufuga kitakachonitoa haraka
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna project nafuatilia nilikuwa nataka kujua watu wa Arusha km mngenisaidia retailer ambaye anahusika na izi Organic Black Kidney beans kwa wingi sana nijue.
1 Reactions
4 Replies
662 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…