MKAMA SIMON
Member
- Oct 3, 2018
- 20
- 9
Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
bei utaiweza boss tsh.4000 kifaranga kimoja!Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
Mkuu kuku chotara je, unabei gani?bei utaiweza boss tsh.4000 kifaranga kimoja!
chotara sina boss! ila wakienyeji wapo kifaranga kimoja bei tsh.4000Mkuu kuku chotara je, unabei gani?
Mienzi mingapi?chotara sina boss! ila wakienyeji wapo kifaranga kimoja bei tsh.4000
Kwanini usinunue mayai halafu ukaenda nayo kwa wenye mashine za kutolea vifaranga?.Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
Nimechukua wazi mkuu🙏🏼.Kwanini usinunue mayai halafu ukaenda nayo kwa wenye mashine za kutolea vifaranga?.
yani hao ninaouza kifaranga kwa tsh.4000 ni wa wiki 2 mpaka 3 ,wakifikisha mwezi na wiki 2 kifaranga nauza 5000tshMienzi mingapi?
Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
Achana na mawazo ya kununua mayaiNimechukua wazi mkuu.
Mkuu hebu share uzoefu wako kwenye kutunza vifaranga kisasa hapo,maana sisi wafugaji wa kuku wa kienyeji kupitisha vifaranga ni changamoto..Achana na mawazo ya kununua mayai
Utapewa mayai mengi yaliozidisha muda
Hivyo utapata hasara mengi hayataanguliwa
Tatuta kuku wakubwa wanaoanza kutaga totolesha mwenyewe then tunza vifaranga kwa kisasa
Na msimu huu wa baridi huku mwanza, kukuza vifaranga ni changamoto sana. Andaa mazingira kwanza kabla ya kuweka vifaranga hakikisha banda linatunza joto la kutosha na wanapata mwanga wa kutosha pia.Mkuu hebu share uzoefu wako kwenye kutunza vifaranga kisasa hapo,maana sisi wafugaji wa kuku wa kienyeji kupitisha vifaranga ni changamoto..
kalibu tufanye biashara na mimi nipo mwanzaHabari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
Majivu yanasaidia nini kwenye kukuNa msimu huu wa baridi huku mwanza, kukuza vifaranga ni changamoto sana. Andaa mazingira kwanza kabla ya kuweka vifaranga hakikisha banda linatunza joto la kutosha na wanapata mwanga wa kutosha pia.
Hakikisha unawapatia chakula bora chenye mchanganyiko wa virutibisho vya wanga , protini, madini, vitamin. Hakikisha una utaalamu huo ama ununue chakula ya kukuzia vifaranga.
Hakikisha wanapata maji safi muda wote na uwachanganyie vitamin.
Chanjo ya mew castle, gumboro na ndui ni muhimu sana, hakikisha unawapatia kwa muda sahihi.
Pia zijue kinga za asili huwa zinasaidia sana. Baadhi ni vitunguu Saumu, Alovera, mlonge, majivu na kadhalika. Usafi pia ni muhimu.
Ukichanganya kiasi kidogo kwa chakula, husaidia kama dawa kwa magonjwa ya tumbo.Majivu yanasaidia nini kwenye kuku
Ukichanganya kiasi kidogo kwa chakula, husaidia kama dawa kwa magonjwa ya tumbo
Asante je nikiwawekea kwenye maji yanafaaUkichanganya kiasi kidogo kwa chakula, husaidia kama dawa kwa magonjwa ya tumbo.