Kuwa Tajiri kwa Mtaji wa Laki 3 tu, Kupitia Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI.
Hapa tuta hitaji...
Serikali ya Zambia inasema imefikia makubaliano na Tanzania Ili kuweza kuuziwa mahindi metric Tani 650,000 kukabiliana na upungufu wa mahindi kulikosababishwa na Ukame.
---
Zambia plans to import...
Hi
Naomba serikali kuvunja mfumo wa kuuza mazao katika vyama vya msingi kwani vimekua vikitunyima uhuru katika mazao yetu.
Baadhi ya Vyama hivyo vimekua vikichelewesha Malipo kwa wakulima...
Utangulizi
Kilimo hai, kinachojulikana pia kama kilimo cha kiasili, ni mbinu ya kilimo inayolenga kuzalisha mazao kwa njia inayozingatia mazingira na afya ya binadamu. Kilibongo Organic Farm ni...
Kwa anae Lima viazi vitamu naombeni elimu.
Mbegu Bora ya kiazi kitamu ni ipi?
Inatunzwaje kuanzia kupanda kuweka mbolea mpka kuvuna kwake.
Je viazi vitamu uvunaji wake ukoje ili kitoke kiazi...
Kwa wale wenye hamu ya ufugaji Bata wa kienyeji au wakuitwa Bata wachafu vitu muhimu vya kuzingatia ili uweze kuwa mfugaji mkubwa na mwenye uwezo wa kuvuna pesa nyingi.
Vifuatavyo vitu muhimu Kwa...
WAZIRI MHAGAMA - SERIKALI KUFUNGUA SHAMBA LA MIWA, MUHUKURU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama (MB) wa Peramiho amesema Serikali...
Vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia Kwa mtu yeyote anae taka kulima kilimo biashara.
1. Una ardhi yenye ukubwa na yenye rutuba nzuri
2. Upo tayari kufanya kilimo kutoka moyoni mwako yani uvunguni...
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Tanzania. Kilimo kinahakikisha upatikanaji wa chakula nchini na pia tunaweza kukuza uchumi wa taifa kupitia kilimo. Zifuatazo ni njia za kukuza uchumi wa...
Wanajamii habari zenu wote.
Polen wadau kwa Mihangaiko za hapa na pale, Ndugu zangu najua huku kuna wakulima wazuri japo wapo pia paper farmers lakini najua mkulima wakweli akitoa ushauri huwa...
SAMAHANI NAOMBA KUJUA BBT(building better tomorrow tanzania) ina ukweli wa kumkwamua mwana nchi wa haliyachini ? Na je inamasharti gani na vigezogani ili kusajiliwa,kupatamafunzo ya vitendo&kupata...
Habari wadau,
Natarajia kulima mahindi katavi mpanda kama ekari 300 kwa wazoefu naweza pata boom sprayer inayoendeshwa na trekta kwa kukodi. Na gharama zake zipoje
nINA SHAMBA TANGA handeni nataka kulima mahindi ni heka 30, nataka kuanza kwa kulima heka kumi, shamba linatakiwa liandaliwe sio pori ila kuna majani makubwa sana yameota na mengine yana mizizi...
Habari zenu wanajamii,
Kama kuna mtu anafahamu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana...
Kama kichwa kinavyojieleza!!
Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali!
Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi...
Wakuu habari,
Naomba kufahamu au kama kuna mtu anahusika na biashara ya viungo(spices) bei za jumla kwa dar au mikoani.
viungo vinavyo takiwa ni; corriander(giligiliani), black pepper(pilipili...
Habari wadau wa JF
Mwezi wa 2 mwanzoni nilianza kufuga kuku wa kienyeji pure.
Nikanunua Jogoo 2
Mitetea 14.
Mitete 2 walipata shida kidogo nikawala nikabakia nao 12.
Mwezi wa 3 mwanzoni...
UTANGULIZI
Matikiti maji hulimwa kama zao la biashara katika sehemu nyingi duniani zenye hali ya hewa ya joto la wastani, zao hili huwapatia watu kipato.
Matikiti maji ni mojawapo ya jamii za...