Kisima kirefu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji

MZALAMO

JF-Expert Member
Jul 6, 2009
1,758
1,967
Ninampango wa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji kwenye eneo la ekari kumi kuanzia 2013. Sehemu nitakayochimba kisima haina umeme nategemea kutumia solar kuvuta maji chini ya ardhi. Mazao ya mbogamboga na matunda ya muda mfupi ndio nategemea kuzalisha. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia visima virefu naomba atupe ufanisi na vikwazo katika hiki kilimo.
 
Israeli unaweza kutuwekea anuani pepe za haojamaa kama unazo tukaona beizake kabla yakwenda huko mana wengi hapa wapo nje ya jiji
Ubarikiwe Mkuu

Umeme wa solar unaweza sana kuendesha pump ya maji (submersible pump).
Kuna pump za DC (direct current) ambazo zinatumia solar power.
Kwa maelezo zaidi waone Davis & Shirtliff wao wana pump zote za solar na za umeme wa kawaida.
 
tatizo ni kwamba umeme wa sola utaweza kuendesha pump? lakini kuchimba sio tatizo
Umeme wa Solar unaweza kuendesha pump, tena zipo sokoni lakini gharama yake kubwa kidogo, halafu uwezo sio mkubwa sana hivyo utahitaji kupanga kuwe na storage; yaani, maji yanasukumwa polepole ndani ya tanki na utakapo yahitaji yawepo ya kutosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom