mwanamke tajiri mdog
New Member
- May 14, 2013
- 2
- 0
jamani wajasiria mali naitaji kukodi shamba hekari mbili mkoan dar or wilaya zilizo karibu na dar na zao gani liko kwenyemsim nikianza kulima saizi
Inabidi ulione kwanza ndio tuzungumze. Pia nataka kujua wewe unataka kukodi kwa muda gani? Msimu mmoja au miezi sita au mwaka mmoja. Vigezo hivyo ndiyo vina determine bei au siyo?!Mzee Mukaruka,
Sh ngapi?