Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari. Kunahitajika nyama ya punda kwa ajili ya export .Sasa nahitaji information nitapata wapi hizo nyama za punda na utaratibu wote wa kisheria unaohitajika kuanzia kuchinja na kusafirisha...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Asalaam wapendwa... naomba kuuliza.. nimefungua biashara ya kuuza maji na juice kwa jumla..ila ndio nipo kwenye mchakato wa kufatilia leseni.. sasa naweza kufungua kabla cjakamilisha leseni? Maana...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Refer2Money.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina asali mbichi natafuta soko. Bei ni 11,000 kwa kilo.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari ya mwisho wa wiki wanajamvi. Napenda kupata ufahamu kuhusu UTT au Unit Trust Fund,nimepata kuwasikia jamaa wanaofanya masoko kwenye redio na kwenye Tv hasa ITV kweli nilivutiwa sana na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za Leo wanajamii forum jukwaa la ujasiliamali.....Naomba tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipa market connection ya Wale wanunuzi wa kuku wa kienyeji (kwa jumla) kwa hapa daresalama Naomba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu, naomba mjuzi wa kutengeneza pop corn zilizo bora na zitakazopendwa na wateja kwa ladha yake. tunayo machine ya pop corn lakini tunakosa ujuzi wa kuweka manjonjo hivo tuko tayari kujifunza...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
kwanza napenda kuwasalimu.na poleni kwa majukumu.Nimekuja hapa jukwaan kuomba msaada wa mawazo.Mimi ni mwajiriwa wa serikali(mwl) kipato changu hakikidhi mahitaji yangu ya kila cku.napenda sn...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau naomba ushauri, nataka nifanye biashara ya kufuata Laptop China then nije niuze bongo, so naomba kama kuna mtu anajua jinsi ya hiZi biashara za kufuata china zinavyofanyika, anipe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji line ya M PESA bei ni 180,000 tu. call 0754827198, au 0716099463
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta shamba kwa ajili ya kilimo maeneo ya mkoa wa pwani. mwenye nalo anijulishe
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf Nimeona deal somewhere ambalo naweza pata cash ya kusukuma life natafuta packaging containers kuanzia mifuko,chupa ,mabox na kadhalika nataka niwe dealer wa mambo hayo je wapi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naombeni ushauri juu ya pump gani nzuri yenye ubora ya kuvuta/kunyonya maji mtooni kwa ajili ya kumwagilia shambani.Size iwe inch 3 Naombeni pia mnijuze ni ipi bora kati ya ile inayo tumia disel...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau Ninatoa huduma za UCHAPISHAJI (PRINTING) wa documents mbalimbali kama vile:- INVOICE BOOK, PROFORMA BOOK, RECEIPT, CASH SALE BOOKS, ANNUAL REPORT, MAGAZINES, BANNERS, STICKERS...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa mwenye kutaka au kufanya udalali wa kuliuza wasiliana kwa 0719268558
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu, Kwanza nashukuru kwa kunipa hamasa ya kuingia kwenye kilimo. Inshallah mambo yakienda vizuri nategemea kuwa na mahindi kama gunia 800 au zaidi mwezi wa saba mwaka huu hapo...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Wadau natafuta line ya Tigo Pesa....sitaki ya kununua kwa mtu ila kama kuna mdau yupo Tigo.....PM bei.......!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Refer2Money.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani maisha magumu na kamshahara kangu nahangaika tu mtaani. Naombeeni ushauri ni namna gani nifungue biashara ya kujikimu ili niachane na maisha ya kutegemea mshahara wadau
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Refer2Money.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Back
Top Bottom