Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nataka nianze kufuga kuku wa kisasa tatizo nahofia dagaa na upatikanaji wake kwa anayejua ntawapataje kwa bei nafuu, kwa kanda ya ziwa anielekeze tafadhali..
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Helow wakuu, nipo kwenye mchakato wa kufuga ila lengo langu ni sawa na research yan nataka ndani ya mwaka mmoja nione kama nitafikisha kuku elfu moja kutokana na directory za humu plus za shuleni...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Samaani wadau kwa wanaojua kilimo nikiwa na lak tano naweza kulima kilimo gan..tafahali naombeni majibu toka kwenu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wajasilimali naombeni kujua bei ya vifaranga vys broiller kwa mwanza, vinauzwa shillingi ngapi kwa sasa?? Nitashukuru sana kwa msaada , najipanga nigependa kuanza biashala ya ufugaji wa kuku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nahitaj papai za kununua kwa bei ya jumla.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu waungwana.....nimekuja hapa kuwaomba ushauri na ntaheshimu mawazo yenu..! nataka kufungua radio katika mkoa mmoja wapo wa kanda ya ziwa (mwanza,geita,shinyanga au simiyu),nimeshaanza...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
natafuta kuku wa kienyeji pure sio chotara,wawe makoo wakubwa tayari ambao washafika umri wa kutaga
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Mnakaribishwa wote kupata ushauri na fursa ya biashara hapa Tz. Kwa wale waliojaribu biashara mbalimbali bila mafanikio na kukata tamaa na wangependa kujaribu fursa nyingine tena ni-inbox...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni ushauri wenu, ninampango wa kufuga Bata au Kuku wa nyma kwa ajili ya biashara, naomba ushauri wenu kipi kinalipa. Nategemea ushauri mzuri.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji mayai ya kuku wa kisasa treyi 50 kwa elfu 6000/=.nipo dar es salaam. No.0686-854242
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naomba kujulishwa wapi nitapata mayai ya kuku wa kienyeji na bei yake ikoje?niko dar Asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za muda huu wandugu Mm ni kijana mwnaume nina umri wa miaka 25 nafanya kazi kwenye shirika fulani la kitalii hapa mjini Moshi Kilimanjaro kazi yangu namshukuru Mungu inanilipa kwasasa nina...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Mm ni mwanafunz wa ninaeingia second year katika chuo kimoja apa mwanza..Nina kama milion 1.5 natak nijfunze biashara stil nkiwa bado npo chuo..nlikuwa naomba ushauri wenu wadau nini nifanye na ni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
fumigation fumigation fumigation
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Napenda kuwajulisha kwa wajasiriamali wenye viwanda vidogovidogo au vya kati na vikubwa au wale wenye mpango wa kuanzisha viwanda vya kusindika vyakula vya binadamu mjini moshi na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama nilivyo dokeza hapo kwenye heading yangu ni kwamba natafuta mtu ambaye yuko serius and committed ili tuweze kufanya naye kilimo cha biashara (agribusiness); tutaanza na kilimo cha mazao yanye...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kina ukubwa wa mita 24 kwa 20,bei milioni 8 kipo bomba mbili dar unaweza kufika kwa kupitia mombasa au kivule kiwanja safi na kipo eneo zuri .mwenye uhitaji anipm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu niwapi naweza pata Heat insulation materia? nina hitaji sana
0 Reactions
1 Replies
765 Views
*Ukipata wazo la kuhitaji kuingia katika Shughuli yoyote ile ya UjasiriaMali Mkubwa Au Mdogo, Fanya Haya Yafuatayo Kabla Ya Kujitosa. 1). Fanya Utafiti Wa Biashara Husika Ili Ujue Lugha Ya...
5 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom