Mada yahusika.
Huyu mtu uliyemuweka hana guts Wala haiba ya kuwatetea wakulima wadogo wa Nchi hii.
1.Mbegu fake Kila sehemu watu wa Wizara wanashirikiana na mawakala.
2.Mbolea fake na...
"Hili si boksi la kawaida. Ndani yake kuna mamia ya vifaranga ambao bado hawajaanguliwa."
Niliposema maneno hayo mbele ya kundi la wafugaji waliokuwa wamekusanyika sokoni, baadhi walitabasamu kwa...
Habari wakuu, ninatarajia kufungua kiwanda kidogo cha utengenezaji wa vyakula vya mifugo hivyo nipo kwenye utafiti wa kuwatqmbua suppliers wa ingredients mbalimbali za kuchanganya kutengeneza cha...
Ndugu zangu habari zenu.. nahitaji maoni na ushauri katika hili. Nahitaji kununua pori walau ekari 50 niligeuze shamba mkoani morogoro; ni wilaya gani mkoani morogoro ina ardhi nzuri hasa kwa...
MWASENDA CHUO CHA MAABARA, KITAFUNGULIWA KWA MUHULA WA MASOMO 2014/15 KATIKA KOZI YA MEDICAL LABORATORY ASSISTANT. CHUO KIPO NYASAKA JIJINI MWANZA.
MUDA WA KOZI NI MIAKA MIWILI (2). SIFA...
Great thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji...
Majina ya Samaki , Maelezo na Picha (SAMAKIPEDIA)
Blobfish
Blobfish ni samaki anayetajwa kwamba ni kiumbe mwenye sura mbaya na muonekano usio vutia kuliko kiumbe chochote.
Blobfish Ni samaki...
Habari,
Naomba kufahamu ni kwa nini ushuru wa kusafirisha mazao unatofautiana kati ya halmashauri, huku tofauti hiyo ikiwa kubwa licha ya kuwa ni zao la aina moja.
Kwa mfano, kusafirisha mchele...
Habarini wadau.
Nimepata kamtaji hapa ka 10m, Nina eneo la ekari mbili Mkuranga.
Enyi wajuvi.
Naombeni msaada kwenu.
Ufugaji upi unalipa kati ya samaki sato au kuku wa kisasa?
Naomba maoni yako hapa.
Cha kwanza ambacho nataka kujua ni kuhusu ujenzi wa banda. Nahitaji banda ambalo kukubwatajua wanaishi humo mchana na usiku, lenye usalama ambalo halitavunjwa kiurahisi na wanyama kama fisi au...
Wakuu,
Kilimo cha mjini kinakua kwa kasi, watu wanakuza mimea kama mboga za majani hadi matunda kwenye ndoo, mifuko ya cement iliyotumika na chochote chenye nafasi ya kuingia udongo.
Kuna mifuko...
Wengi tunadhani tutakumbuka tarehe za Kuku wetu chanjo kichwani,lakini sio kweli , Kama Young Lunya alivyosema "Kichwa kina vitu vingi"
Ukweli mchungu ni kwamba unaweza kusahau kuwapa kuku wako...
7
Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza...
Kama umekua ukihangaika kuanzisha kilimo cha tikiti maji lakini hufahamu pakuanzia, basi makala hii ni mahususi sana kwako.
Nasema hivo, kwa kua nimekua nikilima matikiti kwa muda mrefu tangu...
Habari wadau usikeni na kichwa cha thread hapo juu , nahitaji shamba kwa ajili ya ufugaji na kilimo lenye chanzo cha maji cha uhakika mwaka mzima , lenye ukubwa wa heka 5 mpaka 40 , liwe mkoa...
Wanajamii.
Ni nani aliyewaambia mtu akiwa mtumishi wa serikalini ana hela.
Maana hili suala limekuwa seriously kuanzia tar 23 simu za ndugu marafiki kuomba elfu 5,10 zimekuwq nyingi sana...
Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara zinazokua kwa kasi zaidi nchini Tanzania. Mahitaji ya nyama ya kuku na mayai yanaongezeka kila siku kutokana na ongezeko la idadi ya watu, migahawa, hoteli, na...
Karibu wanaJf, Shamba linauzwa Nzogole,Mpakani mwa Bahi na Dodoma mjini.Lina ekari 2.4,lakini nimechukulia kama ekari2!
Linafaa Kwa kupima viwanja, Kulima Mtama,Alizeti,Ufuta nk .
Ni ukanda pia...