Mbolea gani nzuri kati ya NPK na CAN?

Mbolea gani nzuri kati ya NPK na CAN?

Mbingo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
411
Reaction score
230
Ndugu wanajamvi naombeni msaada kati ya Mbolea ya NPK na CAN ipi nzuri zaidi
 
Sasa tuelimisheni sio kutamka tu maana ya herufi ikiwa ni hivyo hata wachaga watakuambia kirefu cha MOSHI
 
Mbolea zote ni nzuri inategemea uhitaji wa zao unataka kupanda, hata NPK inatoa virutubisho vitatu muhimu kwa mmea wakati CAN inatoa kimoja tu, pia NPK IPO yakupandia na yakukuzia(20:10:10) wakati CAN ni yakukuzia tu.
Mkuu nataka nioteshe kitalu cha nyanya nitumie mbolea ipi kuweka kwenye kitalu kwajili ya kuoteshea
 
Tumia kinyesi cha binadamu mkuu kina ubora mkubwa

Hizo zote hamna kitu
 
NPK na CAN zote ni mbolea nzuri kwa kukuzia, inategemea na zao mfano kwa mahindi CAN ni nzuri zaidi kwa kukuzia na zao kama kahawa NPK ni bora zaidi,....
 
Inategemea unatumia kwa lengo gani, tunachoangalia ktk mbolea ni virutubisho vilivyopo ili kukidhi mahitaji ya zao husika.

Ila NPK ni nzuri sana kwa kiwa ina virutubisho muhimu kwa ajili ya kukuzia
 
Back
Top Bottom