Habar wadau
Nahitaji kujua ni kiasi gani cha hela nitatumia kama gharama za kuwalea na kuwatunza vifaranga 1000 wa kuku wa mayai mpaka kufikia hatua ya kutaga mayai.
🐣 Unataka Kuanza Ufugaji wa Kuku?
Hizi Ndiyo Sababu Kuu Kwa Nini 70% ya Wafugaji Huacha Kabla ya Miezi 6! 😩👇
1️⃣ Bajeti 💸 – Wengi Huanza Bila Mpango wa Fedha
Watu wengi huingia kwenye ufugaji...
Uko Dar unataka kufanya kilimo cha mboga mboga na huna utaalam nione Kwa no 0625537380.
Kilimo chako kiwe kilimo cha kisasa, kilimo biashara yani kilimo cha kupata fedha.
Cocoa hustawi katika maeneo yenye hali ya hewa ya joto kiasi na mvua nyingi au unyevu kutokana na uwepo wa chanzo kikubwa cha maji iwe mto mkubwa au ziwa au Bahari. Maeneo yanayofaa zaidi ni...
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila...
Wakuu habari za leo.
Kama Kuna mtu ana wazo la kulima ufuta, mahindi, kunde and the like Nina eneo la ekari 6 Kabuku.
Nataka kuotesha malimao lakini apatikane mtu wa kulima masika na vuli mpaka...
Baking soda ni rafiki mkubwa wa bustani: Hizi hapa ni matumizi 10 ya busara ya baking soda kwenye bustani.
Dawa Asilia ya Kuvu: Changanya baking soda na maji pamoja na sabuni ya maji ili...
Habar za mda ndugu zangu.
Leo nmependa kujumuika na vijana wenzangu ambao hawana ajira na bado wanalilia ajira nawapa pole sana.
NIANZE HAPA;mm ni kijana wa miaka26 Sasa,
nilizaliwa mkoani Tanga...
Je, ni utaratibu upi unaotumika kuivisha ndizi za biashara?
Kuna jambo la kutatiza kiasi kuhusiana na ndizi za biashara, kawaida ndizi huchukuwa muda wa angalao siku nne kuiva, laiki uivaji wake...
Habari ,
Kwa yeyote anaeweza ku supply Mtama mweupe au mwekundu wenye vigezo hapo chikini kwa kiasi chochote , Tuwasiliane
Vigezo
Aina : Mweupe na Mwekundu
Moisture / Unyevunyevu - Usizidi 14%...
Habar ya leo,
Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.
Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni...
Habari wapambanaji?
Mimi ni kijana mpambanaji,katika kilimo cha mahindi na alizeti,ila mwakan nataka nijikite zaid kwenye ufugaji wa nguruwe na mbuzi wa nyama,nimewajia hapa ili kupata experience...
Katika miaka ya hivi karibuni, sekta ya ufugaji nchini Tanzania imekumbwa na changamoto nyingi, hasa uhaba wa malisho unaotokana na mabadiliko ya tabianchi, ongezeko la watu, upungufu wa ardhi, na...
Unasikia vizuri kabisa!
Ng’ombe mmoja wa maziwa anaweza kukuingizia hadi Tsh 900,000 kwa mwezi
✨ Ushuhuda huu unatoka kwa wafugaji waliopata
✅ Ng’ombe Bora
✅ Mafunzo ya Kitaalamu
kutoka kwetu!
Na...
Tatizo la soko sasa limepata suluhisho rahisi na la moja kwa moja!
Sasa kupitia Blog yetu ya Tanzania na Kilimo
👉 TANZANIA NA KILIMO
Unaweza kUUZA au kUNUNUA bidhaa na zana mbalimbali za kilimo...
Leo katika group letu la mafunzo tunaendelea na somo letu, ambapo tutachambua aina bora zaidi za ng'ombe wa maziwa moja baada ya nyingine. Tutazungumzia sifa zao, changamoto wanazokumbana nazo, na...
Mfugaji au mtu yoyote unaetaka kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na unatamani kufuga aina ya Fresian, usidanganyike kwa Mabaka 😅 Leo tunaendelea na somo letu maalum kwenye group la mafunzo ya...
Habari wadau wa kilimo poleni na majukumu, misimu ya kilimo hii kama tunavyojua kipindi hichi kumezuka mbolea nyingi sana za makampuni tofauti tofauti za vimiminika (booster) ,na wakulimu...
Usifuge mbwa wa kinyonge fuga mbwa wakatili na gharama kama came corso, pitbull,dogo argentino, rottweiler ambao hata akizaa unauza bei nzuri unapata faida
Achana na mbwa koko hawa wala mavi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.