Na Dr khalfan 0752367114
Kuvimba macho huweza kusababishwa na vitu vikuu viwili
Maambukizi ya bacteria
Au upungufu wa vitamin A.kwenye chakula chako.
Utawezaje kutofautisha?????
Maambukizi ya...
Mimi ni mhitimu wa shahada ya Agronomia ( taaluma ya udongo na vipando/mimea ) kutoka chuo kikuu cha SUA mwaka 2017 kwa performance ya upper second class( Very good) .
Miongoni mwa maeneo ya...
Wanakilimo wenzangu. Nyasi zimekuwa zikinisumbua sana kwenye langu la mananasi huko Bagamoyo. Kupalilia mara kwa mara ekari zaidi ya ishirini si kitu rahisi sana ukizingatia kuwa wapaliliaji...
Heloooo
Natafuta mashamba ya kukodi kwa ajili ya kulima mpunga (Ifakara).....yawe na uhakika wa maji
Kama unaweza nisaidia kupata au kama kuna mtu unamfaham anaweza nisaidia please naomba msaada...
Kama mada inavyojieleza huwa najiuliza hivi hakuna taasisi ambazo hufanya research za market za mazao yetu mana wakulima hawana information za kutosha nakumbuka zamani kahawa, pamba, mkonge...
Wakuu kwa anayehitaji mahindi anijulishe tafadhali.
Nauza mahindi nina gunia za debe sita kama 15.
Anayehitaji anipe bei tufanye biashara sitaki mwembwe wala ubabaishaji.
Unapoambiwa "kama ww ni mkulima wala usibugudhiwe kwa kupitisha mazao kwenye barrier za wilaya"
Mkurugenzi wa makusanyo anakwambia sisi hata gunia moja ushuru tunachukua.. ukitaka usilipe uwe na...
Nimejaribu kuwawekea kuku wa aina nyingine mayai ya kuku kuchi lakini hayatotolewi. Nikanunua kitotoleshi (Incubator) napo mayai hayakukutotoleshwa. Msaada wa elimu... nifanyeje?