Msaada soko la mahindi Morogoro

Msaada soko la mahindi Morogoro

Tangaza bei wateja wakufuate ulipo...huna haja ya kuhangaika na usafirishaji mzigo.
 
Ndugu zangu anaejuwa soko la Mahindi Morogoro
Naomba anijuze..nauza mahindi yangu niliyoyatunza Naona Bei hazipandi kabisa na hali ni tete

We jamaa unafungua uzi mara mbilimbili halafu ukiulizwa bei hutaki kutaja..utaishia kutaniwa tu hapa hebu kuwa serious mzee biashara yako unauzaje? Taja bei
 
Back
Top Bottom