Mtaalam wa Kilimo kutoka SUA ( udongo+mimea)

Mtaalam wa Kilimo kutoka SUA ( udongo+mimea)

Tin guy

Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
27
Reaction score
21
Mimi ni mhitimu wa shahada ya Agronomia ( taaluma ya udongo na vipando/mimea ) kutoka chuo kikuu cha SUA mwaka 2017 kwa performance ya upper second class( Very good) .
Miongoni mwa maeneo ya kitaalam nayo-fiti ni pamoja na : matumizi ya mbolea na pembejeo nyinginezo za kilimo, sayansi ya mimea, matunzo ya shamba (kuanzia kupanda mpaka kuvuna), upimaji wa rutuba ya udongo ( maabara au shambani kwa kuangalia viashiria vya rutuba) na kutoa tathmini juu ya uzalishaji na matumizi ya udongo na maji, ubora wa mbegu na mengineyo katika kilimo cha mazao .

Kwa sasa hivi nipo Chalinze ninafanya consultancy ( ushauri) kwa wakulima nikiitwa. Natafuta wakulima wanaotaka ushauri wa kitaalam, usimamizi wa mashamba na watu wa projects ( wanaotaka kuandaliwa projects and business plans), makampuni na NGOs za kilimo nazoweza kufanya nazo kazi. Pia kuna miradi ya kilimo nimeandaa natafuta udadhili au kuelekezwa jinsi ya kuupata.

Nipo Pwani ila nitaweza kukufikia popote ulipo ( nauli ya kwenda na kurudi itakuwa yako).
Nafanya haya kwa bei ya maelewano
Contacts zangu :
Simu: 0758479731/ 0625758571


Karibuni
 
Mkuu unaweza kua na mbegu za mmea Coca au poppy!?!?

Mkuu, mimi ni muhitimu wa mwaka huu tu, kwa hiyo sijaanza kushughulika na kazi yoyote ya kilimo tofauti tu na kufanya consultation za kawaida. Lakini hilo naweza kulifikisha kwa whatsap platform ya wataalam wenzangu kwa kuuliza nani anazo au anajua zilipo
 
Mkuu, mimi ni muhitimu wa mwaka huu tu, kwa hiyo sijaanza kushughulika na kazi yoyote ya kilimo tofauti tu na kufanya consultation za kawaida. Lakini hilo naweza kulifikisha kwa whatsap platform ya wataalam wenzangu kwa kuuliza nani anazo au anajua zilipo

So, kama unaweza kuni-ensure kweli unahitaji na kiasi gani, lini unahitaji na wapi upo? Ndo hilo ntalipeka kwa platform ya wataalam wenzangu kuulizia wapi zinapatikana
 
Mkuu, mimi ni muhitimu wa mwaka huu tu, kwa hiyo sijaanza kushughulika na kazi yoyote ya kilimo tofauti tu na kufanya consultation za kawaida. Lakini hilo naweza kulifikisha kwa whatsap platform ya wataalam wenzangu kwa kuuliza nani anazo au anajua zilipo
Nitashukuru sana mkuu, nazitafuta sana.
 
So, kama unaweza kuni-ensure kweli unahitaji na kiasi gani, lini unahitaji na wapi upo? Ndo hilo ntalipeka kwa platform ya wataalam wenzangu kuulizia wapi zinapatikana
Ila Coca au poppy hazikubali huku niliagiza zangu kutoka Afghanistan ziligoma kukuwa kabisa licha ya kuziotesha kwenye Green house yenye hali ya hewa kama ya Afghanistan!!
images (2).jpg

Ila za jamii hii hapa chini zinakubali labda umtafutie hizo
images (3).jpg

Ila Mtalaam wa kilimo ukizipata na mimi unijulishe nina hitaji mbegu kilo angalau 100KG kwa kuanzia itapendeza!!
ukizipata usisite kunijulisha tafadhli jina langu ni hilo hilo fundi nina patikana central !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom