Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wana JF naomba anaefahamu contact address ya hii kampuni( Irvines Tz Ltd) ya vifaranga vya kuku anipe hapa. Ni kampuni mpya makao yake ni kule Zimbabwe lakini nasikia wamefungua kampuni huko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tukitoa majanga ya asili kama mafuriko,ukame wa ghafla,magonjwa kunabaadhi ya mambo hufanywa na mkulima mwenyewe na kusababisha kuangukia pua na akaishia kulaani na kulaumu kilimo maisha yake yote...
23 Reactions
27 Replies
6K Views
Naombeni ushauri wenu mimi ni mhitimu wa chuo. Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo....changamoto sijapata zao ambalo ni la moja kwa moja kulifanyia kazi..naombeni ushauri wenu... Niko mikoani.. Ardhi...
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Kama nlivyosema ni mkulima lakini pia ninaweza kuwa dalali kwa huu muda ninaosubiria kuvuna nahitaji mtu mwenye interest ya kuwekeza kwenye uchuuzi wa matikiti kupeleka Nairobi au Zanzibar sifa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwaka huu 2018, hakuna mtu au kikundi waliopanga kwenda kwenye maonyesho ya kimataifa ya kilimo Nairobi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu wakulima hii jamii ya watu wanajiita wafugaji hasa wa kabila la kimasai wamekuwa ni kero sana kwan mara nyingi wamekuwa na tabia zisizo za kiungwana mara nyingi huingiza mifugo yao...
3 Reactions
19 Replies
9K Views
Kuku mwenyewe katotoa leo leo! Kuna tiba/kinga ya kuwafanya vifaranga hao wote wakue? yaani hata kama kifaranga akifa, afe kwa kuangukiwa na ndoo au jembe, ila sio afe kwa ugonjwa. NB; Naishi...
2 Reactions
50 Replies
13K Views
Habari wadau humu ndani. Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko. Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo. Naomba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndg zangu Naombeni jamani kwa mtu anayeuza/anajua sehemu ng'ombe wa maziwa wanauzwa Tuwasiliane, nahitaji ng'ombe watatu wenye mimba Breed:fresian, aryshire or brown swiss
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Lipo karibu na barabara Lina ukubwa Wa Eka 40 Bei ni tsh million 4 Lipo kijiji cha MFIRIGA Ktk tarafa ya lupembe mkoani Njombe Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929 na 0784340024
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wanajamvi,kama kichwa kinavyojieleza,ukitoa ule mradi wa mto Nile, kwa hapa Africa kuna mradi mkubwa na ulio bora kuliko uliopo Hombolo bwawani Dodoma? karibuni hombolo kwaajili ya kilimo...
4 Reactions
50 Replies
11K Views
Tilapia culture is practised in tropical and subtropical regions of world and has been growing at an outstanding rate during the past two decades. The worldwide production of tilapia in recent...
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Nikiwa mkulima mchanga wa tikiti nimejifunza vitu vingi ambavyo naona leo si vibaya nikashare kwenu 1.Uchawi amini usiamini uchawi upo kwenye kilimo nimeamini hivyo baaada ya wakulima wenzangu...
11 Reactions
39 Replies
7K Views
Katika kauchunguzi kangu kadogo nimegundua watu wengi wanalazimisha kilimo kwenye ardhi ya bagamoyo wakati sio rafiki kwa kilimo,watu wamesahau upande huu wa Mkuranga,Kimanzi na Rufiji ambapo pana...
7 Reactions
35 Replies
15K Views
Naomba kujua ni chuo gani ama mahali gani nitapata kozi za muda mfupi kujifunza innovations hasa fabrication za mashine mbalimbali zinazohusiana na kilimo na mifugo?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu kwanza salamu ndiyo utanzania wenyewe... Popote ulipo nakusalimu. Back to the topic Kwa wenyeji wa Mahenge wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro naomba mnisaidie hii kwa mtu mwenye experience...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari za pilika wanaharakati ,poleni Na mapambano ,.naomba kufahamu mambo matatu kuhusiana Na tractor 1. Naomba kujua ni tractor Bora Na imara kwa Kilimo. 2. Gharama ya tractor kwa hapa tanzania...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
habari za mida marafiki natumini ni wazima bc tumshuru mungu na hatujalie afya nzuri. Masada wenu mim ni mkulima mdogo wa mboga mboga nina muda wa mwaka mmoja sas nataka kulima nyanya mungu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni kuku wa aina gani wanakuwa vyema na kuvumilia magonjwa kati ya Sasso, Kroiler na Israeli? Kama kuna aina nyingine naomba mnijulishe ili nianze rasmi ufugaji wa kuku.
3 Reactions
10 Replies
5K Views
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha. 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri...
3 Reactions
12 Replies
17K Views
Back
Top Bottom