Virutubisho vya hydroponikia (hydroponic nutrient)

Jul 12, 2017
27
29
Kilimo cha hydroponic ni Kilimo ambacho hakitumii udongo katika upandaji wa mazao hususa mbogamboga,
Virutubisho ambavyo mmea unavipata kutoka kwenye udongo husambazwa kwa njia ya maji yenye mchanganyiko wa virutubisho ambayo hujulikana kama hydroponic nutrient solution

Virutubisho hivyo hupatikana kwa mawakala wa hydroponic lakini mtu binafsi naye anaweza kutengeneza mchanganyiko wake wa hydroponic kwa kutumia mbolea ambazo zina yeyuka kwenye maji yaani water soluble fertilizer ila inabidi kuzingatia mbolea itumikayo ni ile yenye virutubisho vinavyotakiwa kama phosphorus potassium nitrogen magnesium calcium Na zinc
Hii itamsaidia mkulima kupunguza gharama za uzalishaji pia Mkulina anaweza akajifunza kupitia njia hii mfano upungufu wa kirutubisho flani unasababisha tatizo flani

Kilimo hichi cha hydroponic ni Kilimo ambacho kinauepusha mmea zidi ya magonjwa yatokanayo Na udongo pia kinaondoa gharama za upaliliaji kwa Mkulina Na kutoa mavuno yaliyobora Na mengi

Kuna mifumo mbalimbali usambazaji wa nutrient hizo kwenye mmea kama kutumia Kilimo cha umwagiliaji hasa drip irrigation pia kuna mifumo mingine kama kuloweka mizizi ya mimea katika maji yenye nutrient au kupitisha maji yenye virutubisho kwa muda maalumu hii unaweza kuifanya kwa kupata mazao kwenye bomba kwa kulitoboa matundu bomba hilo Na kupanda mazao yako kwenye matundu

Uzalishaji wa miche ya hydroponic hautumii udongo pia miche hukuzwa kwenye trey za kukuzia miche kwa kutumia maozea ya mabaki ya minazo au mabaki ya pamba au kutumia kitu kingine kwaajili ya kukuzia kama udongo kwa kingereza huitwa growing media Na miche inapofikia hatua ya kupandwa inabidi ihamishwe kwenda kupanda hii ni kwa wakulima wa mbogamboga

Kwa hydroponic fodder yaani chakula cha mifugo mbegu za shayiri hutumika ambapo hupandwa katika trey maalumu za aluminium mpaka zinapofikia hatua ya kuvunwa kwaajili ya kiwapa wanyama
 
Anae jua kilimo hiki vizuri atuelimishe has a gharama za vifaa
 
Hiki kilimo kinafanyika kwa mfumo wa green house, au?

Kuna shamba darasa la kuona?

Mpo mkoa gani?

Bei yake?
 
Hiki kilimo kinafanyika kwa mfumo wa green house, au?

Kuna shamba darasa la kuona?

Mpo mkoa gani?

Bei yake?
 
Hiki kilimo kinafanyika kwa mfumo wa green house, au?

Kuna shamba darasa la kuona?

Mpo mkoa gani?

Bei yake?
Kilimo hiki sio lazima kifanyike kwa green house unaweza ukapanda ata kwenye vichanja

Shamba darasa hakuna coz mi nimtaalamu ambae nimemaliza kusoma mwezi uliopita saizi ndio nipo kwenye mchakato wa kutengeneza shamba

Sina ofisi natengeneza nyumbani
 
Mkuuu umepata mafunzo yako chuo gani na umesoma kwa muda gani?
 
Anae jua kilimo hiki vizuri atuelimishe has a gharama za vifaa
Kilimo cha hydroponic nikilimo ambacho hakitumii udongo katika ukuzaji wa mazao teknolojia hii hutumika katika ukuzaji wa mazao ya bustani pia hutumika kukuza chakula cha wanyama kijulikanacho kama hydroponic fodder
Kwa nini Kilimo hiki hakiitaji udongo kwasababu kazi ya udongo kwenye mmea ni kuupa mmea virutubisho ili uweze kukua katika Kilimo hiki virutubisho hupatikana katika maji ambayo yamechanganywa Na virutubisho ivyo Na kusambazwa kwenye mimea Na mmea utapata virutubisho kama ipatavyo kwenye udongo

Kilimo hichi kinamifumo mbalimbali ya usambazaji wa hizo nutrient baadhi ya mifumo hiyo ni
Kusambaza kwa kutumia drip irrigation njia hii ni njia ambayo hutumia vifaa vya drip irrigation lakini mazao yako yanatikiwa yawe yamepandwa kwenye makopo katika makopo hayo hautatumia udongo Bali unaweza ukatumia makutu ya minazi au mabaki ya pamba ili kuusimamisha mmea wako

Pia unaweza ukasambaza virutubisho kwa kupanda mazao yako kwenye mabomba ambayo yapo kama mabomba ya maji yalio tobolewa kwaajili ya kuweka mazao yako ambapo katika mfumo huu maji yenye virutubisho yatakuwa yanapita ndani ya bomba kwa ratiba au kwa mda maalumu maana yake maji ayo yatapita kwa muda kama ni kila baada ya lisaa limoja itabidi kuyapitisha maji hayo yenye virutubisho ndani ya bomba

Pia unaweza kupanda kwenye makontena ambapo utatumia kontena ambalo linamfuniko Na lina tunza maji halivujishi utafanyaje unatakiwa kutumia vikopo ambavyo vitakuwa vimetobolewa chini matundu madogo ambayo yanapitisha maji kisha utajaza mabaki ya pamba au makuti ya minazi Na kuweka mimea yako kisha utatoboa mfuniko wa kontena matundu ambayo kikopo chako ulichopanda mmea kitaingia alafu unaweka maji kwenye kontena kufikia kimo ambacho kikopo kitakuwa kinaingia kwenye maji angalau nusu Na kufunika konten Na kuweka vikopo kwenye matundu uliotoboa kwenye kontena

Kunamifumo mingi lakini ninaifahamu hiyo michache

Katika Kilimo hiki Miche hukuzwa kwenye trey za kukuzia Miche ambapo hautatumia udongo ila utatumia mabaki ya pamba au makuti ya minazi kukuzia lakini utakuwa unamwagilia maji yenye virutubisho

Kwenye hydroponic fodder yaani chakula cha wanyama mbegu za shayiri hutumika ambapo hupandwa kwenye trey za aluminiam Na huweki kitu chochote zaidi ya mbegu Na kumwagilia maji yenye virutubisho mpaka zitakapo fikia mda wa kuvuna

Faida za Kilimo hini ni Kilimo ambacho hakiitaji upaliliaji pia kina zuia magonjwa yatokanayo Na udongo, hakichagui msimu wa kulima unalima mda wowote pia kinakupa mazao yaliyo bola Na faida nyingine nyingi
 
Asante Mkuu. Nimweshawahi kujaribu fodder lakini sikuweka virutubisho vyovyote. Utaweza kunipa mchanganuo wa ratio za mbolea hizo?
 
Asante Mkuu. Nimweshawahi kujaribu fodder lakini sikuweka virutubisho vyovyote. Utaweza kunipa mchanganuo wa ratio za mbolea hizo?
Ukiwa unatengeneza kwa kutumia mbolea zinazoyeyuka kwenye maji utajaza maji kwenye ndoo au pipa kisha utaesabu umetumia madumu mangapi kujaza kisha unapima kijiko kimoja kwa kila dumu ukimaliza unaweka kijiko kimoja cha epison salt kwa kila dumu
 
Ukiwa unatengeneza kwa kutumia mbolea zinazoyeyuka kwenye maji utajaza maji kwenye ndoo au pipa kisha utaesabu umetumia madumu mangapi kujaza kisha unapima kijiko kimoja kwa kila dumu ukimaliza unaweka kijiko kimoja cha epison salt kwa kila dumu
Nimbolea gani hasa inayoyeyuka unayotumia wewe specifically ? Hiyo Epson salt inapatikana kwenye maduka ya pembejeo ?
 
Kilimo cha hydroponic nikilimo ambacho hakitumii udongo katika ukuzaji wa mazao teknolojia hii hutumika katika ukuzaji wa mazao ya bustani pia hutumika kukuza chakula cha wanyama kijulikanacho kama hydroponic fodder
Kwa nini Kilimo hiki hakiitaji udongo kwasababu kazi ya udongo kwenye mmea ni kuupa mmea virutubisho ili uweze kukua katika Kilimo hiki virutubisho hupatikana katika maji ambayo yamechanganywa Na virutubisho ivyo Na kusambazwa kwenye mimea Na mmea utapata virutubisho kama ipatavyo kwenye udongo

Kilimo hichi kinamifumo mbalimbali ya usambazaji wa hizo nutrient baadhi ya mifumo hiyo ni
Kusambaza kwa kutumia drip irrigation njia hii ni njia ambayo hutumia vifaa vya drip irrigation lakini mazao yako yanatikiwa yawe yamepandwa kwenye makopo katika makopo hayo hautatumia udongo Bali unaweza ukatumia makutu ya minazi au mabaki ya pamba ili kuusimamisha mmea wako

Pia unaweza ukasambaza virutubisho kwa kupanda mazao yako kwenye mabomba ambayo yapo kama mabomba ya maji yalio tobolewa kwaajili ya kuweka mazao yako ambapo katika mfumo huu maji yenye virutubisho yatakuwa yanapita ndani ya bomba kwa ratiba au kwa mda maalumu maana yake maji ayo yatapita kwa muda kama ni kila baada ya lisaa limoja itabidi kuyapitisha maji hayo yenye virutubisho ndani ya bomba

Pia unaweza kupanda kwenye makontena ambapo utatumia kontena ambalo linamfuniko Na lina tunza maji halivujishi utafanyaje unatakiwa kutumia vikopo ambavyo vitakuwa vimetobolewa chini matundu madogo ambayo yanapitisha maji kisha utajaza mabaki ya pamba au makuti ya minazi Na kuweka mimea yako kisha utatoboa mfuniko wa kontena matundu ambayo kikopo chako ulichopanda mmea kitaingia alafu unaweka maji kwenye kontena kufikia kimo ambacho kikopo kitakuwa kinaingia kwenye maji angalau nusu Na kufunika konten Na kuweka vikopo kwenye matundu uliotoboa kwenye kontena

Kunamifumo mingi lakini ninaifahamu hiyo michache

Katika Kilimo hiki Miche hukuzwa kwenye trey za kukuzia Miche ambapo hautatumia udongo ila utatumia mabaki ya pamba au makuti ya minazi kukuzia lakini utakuwa unamwagilia maji yenye virutubisho

Kwenye hydroponic fodder yaani chakula cha wanyama mbegu za shayiri hutumika ambapo hupandwa kwenye trey za aluminiam Na huweki kitu chochote zaidi ya mbegu Na kumwagilia maji yenye virutubisho mpaka zitakapo fikia mda wa kuvuna

Faida za Kilimo hini ni Kilimo ambacho hakiitaji upaliliaji pia kina zuia magonjwa yatokanayo Na udongo, hakichagui msimu wa kulima unalima mda wowote pia kinakupa mazao yaliyo bola Na faida nyingine nyingi
Shayiri haihitaji media?
 
Ukiwa unatengeneza kwa kutumia mbolea zinazoyeyuka kwenye maji utajaza maji kwenye ndoo au pipa kisha utaesabu umetumia madumu mangapi kujaza kisha unapima kijiko kimoja kwa kila dumu ukimaliza unaweka kijiko kimoja cha epison salt kwa kila dumu
Kuna mbolea ya npk inayoyeyuka kwenye maji ukisoma kwenye mfuko utakuta imeandikwa water soluble Na epison salt kuna maduka ya pembejeo yanauza ila sio yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom