Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Natafuta Mkopo wa milioni mbili na nusu ya kilimo cha Maua ardhi ninayo ila nimepelea hicho kiasi. mkopeshaji anakua partner ata pata 30%
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hizi pilipili mbuzi zinatatizo gani? Kwani kila nikienda kwenye maduka ya kilimo naambulia kununua madawa tu lakini mmea hauna dalili yeyote ile ya kupona dawa nilizo tumia ni super vory, ridomil...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesikia na kuona viongozi wengi wakiliongelea swala hili, na Magesa Mulongo asema hivi
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari ya majukumu wadau wa kilimo na ufugaji. Nimefuga kuku wa kienyeji. Wiki iliyopita niliona kuna kuku amepoa sana. Sasa kadiri siku zinavokwenda. Huyu kuku anavimba eneo la jicho mpaka haoni...
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Niko Dar nataka kupanda nanasi kwenye kiwanja changu. Kina ukubwa wa nusu eka kiko kongowe. Naomba kujuzwa aina ya minanasi inayofaa eneo hilo na wapi nitapata mbegu/miche yake
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu naomba msaada kwa anaejua biashara ya maua karkade wapi nitapata kwa jumla na bei zake naomba msaada huu wakuu
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua bei ya karanga kwa kilo ni sh ngapi anijulishe nipo arusha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Kwanini kuku hukimbia kabla ya kupandana? Hii ina maana gani kitaalamu?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba anaejua bei ya mashine za kukeleza mbao, pia zinakopatikana, msaada pls
0 Reactions
13 Replies
12K Views
M mwanafunzi nasoma njee ya nchi sehemu nilipo Vifaa vya hospital bei rahisi na kwa makampuni niliyoyafatilia yote yapo iso certified nimebakisha mwaka na nusu katka masomo yangu,kwa mda uliobaki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wapenda humu ndani nina uza pump ya kumwagilia inch tatu aina ya boss kwa laki tatu na thelathini mpira wake laki moja na arobaini mpira ni mitaa mia vitu vyote bado vipya kabisa havitumika...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wana jamii, tunakukaribisha katika ziara ya mafunzo ya fursa zitokanazo na bidhaa za kilimo nchini Kenya February 2019, Tafadhali fungua kiambatanisho Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Wanataalam Wang humu, ninataka kulima alizeti, nataka kutumia dawa ya kuua magugu. Ni dawa ipi inafaa kuua magugu kwenye shamba la alizeti? Asanteni na karibuni kwa ushauri. Sent using Jamii...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimesikia machinjio kubwa na ya hadhi ya juu inaendelea kujengwa Soga wilayani Kibaha! Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Nime-attach picha,ni hali ambayo siilewi ..yani tikiti inakuwa kama inakauka sijui inakuwaje..hiyo ni nini jamani na naidhibiti vipi?????
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wadau, natafuta kwa udi na uvumba kama kuna dawa ya kuzuia magugu yasiote. Yananisumbua sana, kila siku yanaoteana tu. Nipo Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habar zenu wadau! Naomba uuliza ili nipate faida kubwa katika ufugaji huu je! Ni vema nianze na kuku wangapi? Msaada tafadhari. Na lenga sana kuku wa mayai Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenyekujua dawa ya ugonjwa wa Kuku kutokwa na Maji Maji mdomoni na puani mithiri ya makamasi. Naomba ushauri please [emoji120][emoji120][emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu , Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahtaji kulima alizet ila sifahamu mashine ya kupandia akizet ipoje na inauzwa bei gani ..kwa mwenue uzoefu na hiyo anaweza tuma mchango hapa...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Nipo Dar maeneo ya Mbezi, nimelima nyanya aina ya Money Maker kama nusu heka huku. Ninamwagilia kwa maji ya kisima nilichochimba. Tatizo nilipatalo ni kupukutika kwa maua kila zinavyoanza kutoa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Back
Top Bottom