Msaada: Dawa ya Nyanya zinazopukutika maua

SAIZI YANGU

JF-Expert Member
Nov 8, 2013
381
83
Nipo Dar maeneo ya Mbezi, nimelima nyanya aina ya Money Maker kama nusu heka huku. Ninamwagilia kwa maji ya kisima nilichochimba. Tatizo nilipatalo ni kupukutika kwa maua kila zinavyoanza kutoa maua. Nimejaribu kupanda aina ya Roma nazo ni hivyo hivyo, naombeni kujua nitumie dawa gani.
 
Piga dawa inayoitwa BARMECK
piga maua yanapoanza kutoka.
Pia piga dawa ya kusaidia majani na maua ni mbolea ya maji inaitwa grow calcium
 
Back
Top Bottom