Okay. Basi tumia dawa ambayo ni non selective kwa magugu. Nakushauri ukifika Agrovet ulizia roundup dawa ya kuua magugu. Pia kama huna haraka na hilo shamba, fanya kitu kinaitwa weed timing control. Yaache yaote yote kwanza halafu yakishatoa maua ndo uyadhibiti either kwa kulima au kutumia dawa. Usikubali yatoe mbegu ili kuzuia kuenea zaidi. Yakitoa tu mbegu hutaweza kuya control maana dispersal itakuwa kubwa sana. Ndo namna tunavyodili na magugu hasa noxious weed ambayo ni magumu kuzuia. Ila dawa nzuri ni round up.