GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,194
Habari ya majukumu wadau wa kilimo na ufugaji. Nimefuga kuku wa kienyeji. Wiki iliyopita niliona kuna kuku amepoa sana. Sasa kadiri siku zinavokwenda. Huyu kuku anavimba eneo la jicho mpaka haoni. Naombeni mnijuze aina ya ugonjwa na matibabu yake. Natanguliza shukrani