Ahsante mkuu nimeuangalia uzi ila namba zao zote hazipatikani kiongozicheki huo uzi hapo juu mkuu . ipo kwa wingi Dodoma
Ahsante mkuu kwa bahati mbaya sina mtu dodoma na ingekua vyema ningepata connection ya muuzaji wa jumla ningeshukuru sana...Pole mkuu cheki na mtu aliyeko dodoma akuchekie dodoma sokoni au apate connection kwa muuzaji kama utahitaji kwa jumla.