Wapendwa nahitaji kufanya biashara ya samaki
Kutoka tanga to Moshi
Au mwanza to Moshi
Kwa wezangu ambao wameisha Fanya biashara hiyo naombeni.ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Ndg. wana Jff.
.
.
.
.
Kama kichwa tajwa hapo juu cha mada, Mimi ni mjasiriamali ambaye nalenga ufunguzi wa duka la pembejeo za mifugo.
Hivyo niko mbele yenu kuhitaji msaada wa jina ambalo...
Nahitaji kufahama kuhisu ufugaji wa swan bata bikini (goose) na turkey (bata mzinga) nahitaji kufahamu bei ya vifaranga wao,wakubwa na bei ya mayai yao.Pia wapi wanapatikana
Wapendwa nimechoka na ajira za kubangaiza za bongo, nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga. Ninachoomba msaada kwa wanajukwaa ni haya maswali...
Kuna aina nyingi sana za mbegu za Nyanya Hybrid.
Zifuatazo ni mbegu na maeneo zinazokubali na kupata mavuno mengi.
1.Eden f1 inakubali maeneo yote tanzania.
2.Assila f1 tanzania nzima...
Babu yangu alikuwa na ardhi kama ekari 70 hivi lakini hakujua alifanyie nini maana kilimo cha kipindi hicho kilikuwa cha chakula ,hivyo ekari 70 ulime ale nani kila familia ina ekari 5 zenye kila...
Wakuu natumai nyote muwazima naombeni msaada mimi ni mkulima ninaemiliki shamba mkoani Tanga wilaya ya kilindi kijiji cha masagusa, nimekuwa nikisumbuliwa mara kwa mara na wafugaji jamii ya...
Habari zenu wa ndugu?
Kwa yeyote mwenye kujua biashara ya kuku wa kienyeji kwa yule anaye nunua na kwenda kuuza sehemu nyingine.
Mwaswali yangu ni je,
1. Kuku wa kienyeji wanapatikana wapi kwa...
Vifaranga vya mayai huchukua kati ya week 18-20 kuanza kutaga. Baada ya hapo huendelea kutaga mayai kwa mwaka mmoja.
Baada ya mwaka mmoja kuku hawa huzeeka, utagaji unapungua na kukoma, manyoya...
Salaam wakuu.
Nipo Moshi Mkoani Kilimanjaro. Ninaplan ya kuanza ufugaji wa kuku.
Nimejenga banda la matofali ya kuchoma lenye urefu wa mita 9 kwa mita 4 na kimo cha mita 2.3. Limeezekwa kwa...
Mimi nimkulima wa kawaida nataka nianze kutumia mbolea za madukani lakini kabla sijaanza kutumia nimeona si vyema kuacha kuwashrikisha wana jf maana humu kuna watalamu na wazoefu wa masuala ya...
Wajasiriamali habari zenu poleni na majukum ya kitaifa....Nina kiasi cha milioni moja na nusu bajeti hii naweza kuwalisha kuku na madawa mpaka watakapo anza kutaga?
Pesa ya kununua vifaranga...
Wasalaam!
Waungwana naombeni ushauri wa zao linalostawi zaidi kwa mikoa ya Pwani/ Tanga na lenye faida kwa mkulima. Zao lipi linafaa zaidi kati ya nanasi/ machungwa/ maembe mapapai?
Natanguliza...
Naomba ushauri wenu, kuku gani ni wa faida kwa dar, banda linaweza kunigharimu kiasi gani, nianze na kuku kiasi gani, kuku wa kampuni gani ni bora zaidi.
Nawasilisha
Katika pitapita zangu Leo mashambani nimekutana na mkulima moja akitumia sabuni ya Unga Kama dawa yakuuhuwa wadudu kwenye maindi anasema ni sumu Nzuri ya kuuhuwa wadudu kwa anaye fahamu zaidi je...
Kwenye kilimo cha mpunga hipi ni njia sahihi ya kupanda mpunga
Kumwaga kienyeji
Kupanda kwa punje
Kupandikiza
Naomba kujua maana nipo shamba sasa
0716671919
Ni ukweli usiopingika kwamba kupata faida katika kilimo kwa kufanya kilimo biashara kuna hitaji mambo mengi sana lakini katika vitu muhimu zaidi ni timing ya soko kwa zao husika.Wakulima wengi...
Ndugu zangu nataka kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya kwa kutumia Greenhouse. Anayefahamu gharama za kuandaa mwanzo mpaka mwisho anisadie kwa upande wa Morogoro.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.