Hivi karibuni biasharz ya sangara imekuwa kubwa sana mpaka bei ya kilomoja imefikia Tsh 5000 huku mawenzi mkoani Morogoro.
Nimedadisi nimeambiwa ni kutokana na mautumbo ya koromeo (Bondo) ni...
Mpenzi msomaji wa blog hii leo napenda nikuletee kitu kingine tofauti kidogo na ambacho blog nyingi za kilimo, ntapenda kukuletea baadhi ya vifaa ambavyo hutumika shambani hivyo wewe kama mkulima...
Habari bandugu! Naomba wanaoelewa wanielimishe kuhusu dagaa wanaofaa kuchanganywa kwenye chakula cha kuku kati ya wale wanaotoka ziwa Victoria na wale wanaovuliwa baharini.
Wakuu poleni na majukumu nina shida moja nahitaji msaada kidogo kuhusu taarifa au mtu yeyote ambae ameshawai kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika mikoa ya Morogoro na Mbeya
1.Kianzio...
Entomophagy ni neno la Kigiriki ambalo lina maana ya ulaji wa wadudu kwa binadamu na non human being.
Entomon ni Wadudu na phagein ina maanisha kula.
Zaidi ya makabila 3,000 duniani unaambiwa...
Hi?
Greenhouse Tanzania ni wataalam wa ujenzi wa wa greenhouse na mifumo yote ya umwagiliaji. Pia ni wataalam wa kilimo na hutoa ushauri juu ya kilimo na changamoto zinazompata mkulima. Pia...
Naombeni msaada juu ya maelezo ya jinsi ya kupata mbegu ya ng'ombe kutoka shamba la kitulo lililopo Makete-Njombe ikiwa ni pamoja na bei yake kulingana na umri na kama naweza pata mawasiliano yao...
Ikumbukwe kuwa wk chache nilileta Idea kama watu watapenda kushare kwenye project ya kiwanda cha Maziwa Morogoro. Thanks waliojitokeza. I received almost 30 request of interested ventures.
Luckly...
Habari wanaJF.
Naombeni msaada wenu, nataka nifungue mashine ya kukoboa na kusaga mahindi. Naombeni mnisaidie jumla ya gharama kwaajili ya kufanikisha hiyo shughuli. Inshort nataka kufungua...
Habari wa ndugu
Mimi nimfugaji wa ng'ombe, jana ng'ombe alizaa ndama bila hata msaada wowote yaani kusaidiwa kuvuta ndama, na tayari kondo limetoka.
Leo nimerudi kazini nimekuta ng'ombe(mama)...
Habari zenu Wakuu,
Nahitaji kufuga kuku wa Mayai, ila sijui pa kuanzia. Naomba msaada wenu mnielekeze ili niweze fanikiwa lengo langu.
Je Nikiwa na milion mbili yatosha kuwa mtaji wa kuku wamayai?
Ndugu wakulima na wananchi kwa ujumla, kama una eneo dogo katika nyumba yako usiridharau linaweza kukusaidia ukaweka mimea michache ambayo itasaidia kukupatia chakula kama nyanya, vitunguu...
Wasalaam ! ! !
Niende moja kwa moja kny point
Kwa yeyote anae elewa naomba kujua ili kupanda mkonge/katani huwa zipo mbegu zake kama vile mahindi ? au ni...
Dah, wakuu nimeamua kujiongeza kwa kufuga kanga, ni mradi mzuril lakini kwa changamoto ninayokutana nayo nimenyoosha mikono.
Nilimwekea kuku wa kwanza mayai 12 ya kanga akatotoa yote lakini...
Habari wakulima na wafugaji,
Kuna watu ambao wanataka kujiingiza kwenye kilimo cha michungwa muda ni huu wa kuandaa shamba,
1. Lima shamba
2. Ng'oa visiki
3. Fanya layout
4. Piga mashimo
5. Weka...
Kama unataka/Unapenda kufuga Mbwa hasa wakigeni (Wakizungu) basi huna budi kuujua ugonjwa huu na namna ya kuepuka.
Kwa wale Wapenzi wa Mbwa kindaki ndaki, Wanaofuga Mbwa kwa Mapenzi au Kibiashara...
Habar wanajamvi, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba nifaamishwe wapi naweza pata mbegu ya maharage machanga maarufu kama French Beans/Green Beans, mim niko Lindi. Ahsanteni natanguliza...
Ndugu zangu,
Ng'ombe wangu amezaa mwezi December, 2018. Lakini toka amezaa hali yake imekuwa sio kabisa. Anakula sana tena sana lakini anazidi kukonda kila siku na sasa amebaki mifupa tu na hali...