ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,139
- 3,767
Hivi karibuni biasharz ya sangara imekuwa kubwa sana mpaka bei ya kilomoja imefikia Tsh 5000 huku mawenzi mkoani Morogoro.
Nimedadisi nimeambiwa ni kutokana na mautumbo ya koromeo (Bondo) ni dili na wachina wananunua kilomoja kwa Tsh 200,000.
Wanadai ukinunua kilo miamoja unapata gram chahche za hicho koromeo na hivyo kuwafanya wanaponunua samaki hubaki wakiwa hawana thamani tena.
Kwa mnaouza tujuzeni kuna fursa tujiunge pamoja na kilo moja ya bondo i ahitaji kilo ngapi za sangara?
Nimedadisi nimeambiwa ni kutokana na mautumbo ya koromeo (Bondo) ni dili na wachina wananunua kilomoja kwa Tsh 200,000.
Wanadai ukinunua kilo miamoja unapata gram chahche za hicho koromeo na hivyo kuwafanya wanaponunua samaki hubaki wakiwa hawana thamani tena.
Kwa mnaouza tujuzeni kuna fursa tujiunge pamoja na kilo moja ya bondo i ahitaji kilo ngapi za sangara?