Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Asalam wadau wa kilimo. Mm ni mdau nambari moja wa kilimo nchini. Nimekuwa nikihudhuria, kusoma, kusikiliza, kuangalia mambo yahusuyo kilimo kwa nia ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Kama zilivokazi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini za muda huu wakuu... Naomba yeyote mwenye mpango biashara wa kilimo cha parachichi au maembe anisaidie.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Hivi mti wa mzambarau unaweza to a mbao?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Nimekuwa nikikifuatilia kilimo cha Aquaponic kwa muda mrefu sasa .Naomba niwape elimu hii bure kabisa na vitu vyote nilivyoweza kupata katika kilimo hichi cha Aquaponic.Na imani kinaweza kuwa...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Niko Kanda ya ziwa. Ufugaj wa samaki kwa njia ya 'cages' nimekuta ni uwekezaji mzuri kwa faida ya maana kama nilivyoshuhudia Uganda. Anayejua undani wa ufugaji huu na risks zake na sheria...
4 Reactions
21 Replies
7K Views
Wadau za Jioni?? Ninatarajia kuagiza Vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile Drip irrigation tapes na fittings zake kama Tape Plugs, PVC offtake, pia Sprinklers etc. Sasa kuna ambae ameshawahi...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Salaam JF. Matikiti maji aina ya sugar baby ambayo yanajulikana kwa ubora na utamu pamoja na biashara inachukua siku 60 kukua na ukiongeza na siku 3-5 za kukaa ardhini .Zao hili unaweza kulima...
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Kwa ukweli mi ninaona watu wakiwa na biashara kwa muda mrefu lakini hawafikii hapo. Je inakuwaje ndugu zangu?
1 Reactions
40 Replies
12K Views
Ndugu wanajukwaa naomba kwa wanaojua watupatie maelekezo ya uzalishaji na na soko mdudu mende.
1 Reactions
30 Replies
11K Views
Kulingana na Benki ya Dunia (WB) katika ripoti yake ya Mapitio ya Uchumi wa Tanzania ya mwaka 2017, inaitaja Tanzania kutumia asilimia 80 ya maji yake yote katika shughuli za kilimo. Matumizi hayo...
10 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwema wadau Ni hivi, Wazungu huwa watu wa ajabu sanaa chini ya juaa hili, yaani wana pesa mpaka hawana pa kuzipeleka ndio maana wanakuja huku Africa kufanya matumizi yao. Watu mliosomea kozi...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana JF. Naomba kuuliza kama zipo KAMPUNI za bima zinazotoa bima ktk sekta ya kilimo hasa bima ya mazao. Kama zipo, package zao zinakinga Risks zipi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Naomba ushauri ndugu zangu, nina mtaji wa M15 nataka nifungue kiwanda cha kukoboa mpunga, je hela hyo itatosha?, biashara hii inalipa?, yapi maeneo mazuri yakufanyia kwa wilaya ya mvomero mana mim...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia inamakao makuu Masaki Dar es salaam Tanzania.Inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za afya (food supplement) ambazo ni asili na zimethibitisha na TFDA. Kampuni inatoa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Kuna jambo huwa nafikiria sana. Wengi humu huishia kutangaza biashara zao. Leo naona nizungumzie hawa jamaa wa drip irrigation system. Wengine nitawajia siku nyingine. Hivi mnaona hiyo 1.8m kwa...
7 Reactions
18 Replies
9K Views
FAHAMU KILIMO BORA CHA MDARASINI - CINNAMON ABBAS JIRIWA 0716238374, 0683361843 MUHEZA TANGA Mvua nyingi za kutosha 2000mm -2500mm kwa mwaka Udongo wenye rutuba Joto kwa wingi Hewa yenye...
5 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu Juzi kati hapa narudi kutoka kibaruani nikaamua nichukue matunda kidogo, Nilistaajabu sana bei ya tikiti moja ni Tsh 10,000/-, hivyo kutokana na ukata nikachukua ya elfu 2 tuu ila vilitoka...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Na Bakari Chijumba Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba amesema Tanzania inakusudia kuwa mzalishaji mkubwa wa zao la korosho Duniani ambapo imeweka mkakati wa kufikia uzalishaji wa tani milioni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KITABU CHA MASUALA YA GREENHOUSE SASA KINAPATIKANA Habari wajasirimali wote na wanajihusiha na kilimo cha kisasa na wanaowiwa kujihusisha na kilimo cha kisasa hasa Greenhouse/Nethouse , sasa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu.wale wote Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji hasa cha kutumia drip line system.katika kilimo cha mazao ya Muda mfupi Karibuni Sana hapa.kama una wazo la kutuelimisha zaidi kwa...
2 Reactions
37 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…