Fish Cage Aquaculture kwa Kanda ya Ziwa

Rwaz

JF-Expert Member
May 3, 2013
1,964
3,311
Niko Kanda ya ziwa. Ufugaj wa samaki kwa njia ya 'cages' nimekuta ni uwekezaji mzuri kwa faida ya maana kama nilivyoshuhudia Uganda.

Anayejua undani wa ufugaji huu na risks zake na sheria zinazosimamia maji na mazingira anijuze ingawa ninazo fundamental substances za mradi husika.

Nahitaj kuanzisha na anayehitaji tushirikiane, tuwasiliane kupashana.
 
kwa mil 10 au less unaweza kuanzisha fish cage. kwa ushuhuda naongelea maji ya ziwa na sato. lakin mavuno baada ya miez 7 waweza pata had mil 250 minimum per cage ya 6 square meter. gharama za uendeshaj kama chakula na ulinz na soko zaweza kutofautiana. ngoja nikitia miguu yote miwili katika hili nitawashirikisha. Kwakweli Uganda wako vizuri katika hili. mchanganuo wa malighaf na ujenz ninao.
 
kwa mil 10 au less unaweza kuanzisha fish cage. kwa ushuhuda naongelea maji ya ziwa na sato. lakin mavuno baada ya miez 7 waweza pata had mil 250 minimum per cage ya 6 square meter. gharama za uendeshaj kama chakula na ulinz na soko zaweza kutofautiana. ngoja nikitia miguu yote miwili katika hili nitawashirikisha. Kwakweli Uganda wako vizuri katika hili. mchanganuo wa malighaf na ujenz ninao.
Mrejesho chief kama ulivyo kusudia...
 
Back
Top Bottom