melanin gal
Member
- Sep 8, 2016
- 57
- 22
Habarini za muda huu wakuu...
Naomba yeyote mwenye mpango biashara wa kilimo cha parachichi au maembe anisaidie.
Naomba yeyote mwenye mpango biashara wa kilimo cha parachichi au maembe anisaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ninayo ya Mihogo.Habarini za muda huu wakuu...
Naomba yeyote mwenye mpango biashara wa kilimo cha parachichi au maembe anisaidie.
Sawa... Asante.Kama una shamba ingia porini upande miti hata 10 kwa kadri ya uwezo wako.Darasa LA saba wakipata fursa ya kuwekeza wanaanza Mara moja,unachotakiwa ni kununua miche na kwenda kupanda kiongozi.Mimi kila Mwaka lazima nipande Miche ya miti,embe,michungwa,minazi,mikorosho hata kama Nina lakimoja ilimradi Nina ardhi.
Sawa... Naiomba pia. (agnesngondo@yahoo.com)Mie ninayo ya Mihogo.
Weka hapa mkuu tufaidike woteMie ninayo ya Mihogo.
Hahaaa well said wasomi wanahangaika sana na analysis, mimi nimefika Njombe wiki ya pili tuu nimepanda miti sasa nimesikia kuhusu palachichi nitapanda tuu dec sitaki analysis nyingi haaaaaKama una shamba ingia porini upande miti hata 10 kwa kadri ya uwezo wako.Darasa LA saba wakipata fursa ya kuwekeza wanaanza Mara moja,unachotakiwa ni kununua miche na kwenda kupanda kiongozi.Mimi kila Mwaka lazima nipande Miche ya miti,embe,michungwa,minazi,mikorosho hata kama Nina lakimoja ilimradi Nina ardhi.
Business plan(mpango biashara) Uhandaliwa kulingana na mtaji wako ko MTU akiweza kukupatia mpango biashara wake nidhahiri kuwa usiweze kumatch na financial yako na at the end ukashindwa kufanya biashara ambayo uliitarajia.Habarini za muda huu wakuu...
Naomba yeyote mwenye mpango biashara wa kilimo cha parachichi au maembe anisaidie.
Sio kweli,mpango biashara ni muhimu sana katika analysis's ya biashara yakoHahaaa well said wasomi wanahangaika sana na analysis, mimi nimefika Njombe wiki ya pili tuu nimepanda miti sasa nimesikia kuhusu palachichi nitapanda tuu dec sitaki analysis nyingi haaaaa
Hapo ni kupoteza muda tu, wewe upo mwanzo mwa shughuli. nenda katafute eneo, chukua mawazo kwa wazoefu wafanyao mradi husika. Watz wengi wamefanikiwa hata business plan hawajawahi kuiona. Tuanche kilimo cha nadhariaSio kweli,mpango biashara ni muhimu sana katika analysis's ya biashara yako