Ngoja leo niwape wazo watu mliosomea masuala ya mifugo na kilimo (Veterinary, Agriculture, Agro-business)

Myahudi Jr II

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
6,703
8,481
Kwema wadau

Ni hivi, Wazungu huwa watu wa ajabu sanaa chini ya juaa hili, yaani wana pesa mpaka hawana pa kuzipeleka ndio maana wanakuja huku Africa kufanya matumizi yao.

Watu mliosomea kozi hizo, asee changamkieni fursa hii.

Yaani kuna NGO/Taasisi nimekutana nayo inafundisha watu kuwa rafiki wa wanyama, wasiwapige. Kuna mmoja mebase kwenye Punda, asee jamaa anapewa helaa balaa.

Yaani ameenda mashuleni ameomba vipindi vya ziada anafundisha wanafunzi, anapiga picha akiwa darasani, anachukua picha za video wanafunzi wakiwa wanaeleza jinsi wanavyokua na urafiki na wanyama hao, yaani punda.

Wazungu wanafurahishwa na hili, wanakuja kutembelea hizo shule, watoto, wanapiga nao picha na wanaenda mitaani punda hao walipo. Ni hela tu zinamwagika.

Jamaa wakiona picha, videos, elimu inavotolewa wanamwaga pesa (hawa watu wnahitaji facts (watakuja mpaka kwenye shule hiyo watamuuliza mwalimu mkuu na wanafunzi, yaani wakiridhika aseee umeula.

Nimeona niwaletee wazee wangu humu kama wazo, unaeza ukadili na wanyama wengine kama Ng'ombe (maana wao nao wanafanyishwa makazi magumu), nguruwe na wengine.

Wazungu pesa wanazo ni sisi tu kuwapelekea maandiko yetu
 
Hata mm ni mwanasuaso sema cjamuelewa, animal welfare bongo bado Sana coz ata standard za Human welfare bado hatuja improve

Kaka hufanyi kama upo mbele, huyu mzee yeye anadili sana kutoa mafunzo kwa watu juu ya kuishi na wanyama

Yaani kuondoa ukatili kwa wanyama, kama kuwapiga, kuwapa mizgo mizito, kuwachoma etc

Wale wanataka watu wapewe elimu tu
 
Ni kwamba, kuna fungu la pesa za kutosha kwa watoa elimu ya kujali wanyama.
 
Mwisho watatuambia tuache kuwachinja sababu nawao nibinadamu kama sisi.
 
Kwema wadau

Ni hivi, Wazungu huwa watu wa ajabu sanaa chini ya juaa hili, yaani wana pesa mpaka hawana pa kuzipeleka ndio maana wanakuja huku Africa kufanya matumizi yao.

Watu mliosomea kozi hizo, asee changamkieni fursa hii

Yaani kuna NGO/Taasisi nimekutana nayo yaani inafundisha watu wawe rafiki wa wanyama wasiwapige wapige huyu amebase kwenye Punda asee jamaa anapewa helaa balaaa

Yaani ameenda mashuleni ameomba vipindi vya ziada anafundisha wanafunzi, anapiga picha akiwa darasani, anawapiga video wanafunzi wakiwa wanasema jinsi wanavyokua urafiki na wanyama hao(punda)

Wazungu wanafurahi sanaaa, wanakuja wanatembelea hizo shule, watoto, wanapiga nao picha, wanaenda mitaani punda hao walipo aseee ni hela tu zinamwagika.

Jamaa wakiona picha, videos, elimu inavotolewa wanamwaga pesa( hawa watu wnahitaji facts( watakuja mpaka kwenye shule hiyo watamuuliza mwalimu mkuu, watoto yaani wakirodhika aseee imeula

Nimeona niwaletee wazee wangu humu kama wazo, unaeza ukadili na wanyama wengine kama Ngombe(maana wao nao wanafanyishwa makazi magumu), nguruwe na wengine

Wazungu pesa wanazo ni sisi tu kuwapelekea maandiko yetu

Nb: kuandika ukaeleweka no kipaji
Ndio mlicho fundishwa SUA.Mnakiabisha chuo
 
Back
Top Bottom