Kumekuwepo na utaratibu wa wakulima wetu kulima zao hili kwa pamoja, hii inatokana na hali ya hewa ya mahali husika pamoja na utaratibu wa watu kufanya kama wengine. Hali hii husababisha zao la...
Habarini wa jamvi, naomba kupewa ushauri kuhusu kufungua kakiwanda kadogo cha kukoboa mpunga maeneo ya mvomero morogoro. Naombeni ushauri kama inalipa na kama mnaweza pemdeza maeneo mazuri zaid...
Nahitaji chanjo ya kuku ya IB Infecious coryza. Niko nahangaika hata sijui nitaipata wapi naombeni anaeijua inapopatikana aniambie na bei.
Asanteni
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Nimejaribu kufuatilia video hii aiseh inatia uchungu sana. Ila nadhani lengo la huyu kwenye video hii lilikuwa ni kuonesha namna ambavyo ufugaji unakumbwa na vikwazo. Tunatakiwa kuangalia namna ya...
Kwanza niwe mkweli sijawahi kufuga chochote kile mwanzo na sina experience ndo nimeanza mwisho wa mwaka uliopita.
Iko hivi, mwezi Desemba mwanzoni tarehe 8 nilianza safari ya ufugaji wa kuku...
Wakuu poleni kwa majukumu.
Naomba kujua sababu na tiba ya nyanya ambazo ziko shambani zimeanza kutoa matunda lakini majani ya chini yanakauka. Shida itakuwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wajasiriamali! Kuku wangu vifaranga wanaugonjwa ambao wanafumbua mdomo huku ukielekea juu kama wanapiga mihayo!! Je, ni ugonjwa gani huo na tiba yake ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba kujuzwa juu ya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika skimu ya dakawa
1.Je ni vipi naweza kupata mashamba katika skimu hi ya umwagiliaji/ Kama wanakodisha je ni bei gan kwa heka...
Kwanza ieleweke kwamba kuku chotara ni kwa ajili ya kupunguza umasikini na si kwa ajili ya Biashara.
Ukisoma hata andiko la ku introduce Kuroiler kule Uganda ilikuwa ni kwa ajili ya kupambana na...
Wakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
Nimesikia bata wanauwezo mkubwa sana kukabiliana na magonjwa na kuwafunga si kazi sana ugumu upo wanapokuwa wadogo,naomba kufahamishwa je ni aina gani za Bata ni Bora kwa mayai na kwa nyama? Na je...
Mambo wanajamvi samahani kama nitakuwa nimekosea ila nahisi humu naweza pata njia ya kuniongoza.
Story fupi kuhusu mimi. Mimi ni mfugaji na changamoto napata kwenye chakula yaani nahitaji...
Habari zenu ndugu wafugaji naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua mayai ya kuku wa kienyeji pure yanayofaa kutotoreshwa kwenye incubator maana nikiweka mayai 100 yameanguliwa 42 tu.
Habari wataalamu,
Naomba kujua kama kuna namna bora kabisa ya kufanya mayai yasiharibike kwa maeneo yenye joto kali kama Dar es Salaam wakati wa kuatamiwa.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums...
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao...
Kabla ya kwenda kwenye somo letu juu ya ufugaji bora kwa KWALE ningependa kuwapatia bei ya bidhaa zetu ili uwe na idea kabisa.
Mayai:
1. Mayai ya Kwale Trey Moja ya Mayai 30 ni shilingi 20,000...
Habar wana ndugu naomba msaada wa kupata taarifa inayo husu kilimo cha malisho kwa wanyama alfalfa na lucerne hapa tanzania wa wanalima na wapi nitapata mbegu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo. Nimeamua kuwa mfugaji wa mbwa lakini nimepata changamoto kidogo, mbwa amegoma kula siku mbili sasa.
Mwenye utaalamu anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app