Kamata mkwanja wa chap chap funga mbuzi ndani ya miez 6 tu hutalalama pesa ngumu

Mm mwenywe nawaxa sana kuhusu mbuzi aisee ngoja tupeane ujuzi labda naweza nkajifunza kitu nkabadili maisha yangu
 
Kuna jamaa yangu anatrade mbuzi,anapiga profit ya laki nne per week!! Iyo ni minimum
 
Back
Top Bottom