kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
Sawa niunge na mimiWakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
Ufugaji wa mbuziWakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
KARIBU KWENYE GROUP LA UFUGAJI JIUNGE KWENYE LINK APA CHINIWakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
Mkuu na mimi pia nawaza Sana juu ya awa wanyama. Subiri tujifunzeMm mwenywe nawaxa sana kuhusu mbuzi aisee ngoja tupeane ujuzi labda naweza nkajifunza kitu nkabadili maisha yangu
Hatari mkuuWalau kuna mnaofikiri kwa njia nyingine, maana kila kona ukisikia kamata mwanja, basi utaambiwa biko au karata tatu mzukaa sijui ile.
Hiyo link iko wapiKARIBU KWENYE GROUP LA UFUGAJI JIUNGE KWENYE LINK APA CHINI
Mkuu naiwaza sana hii business, waweza kunipa abc zake,?Kuna jamaa yangu anatrade mbuzi,anapiga profit ya laki nne per week!! Iyo ni minimum
Uko wapi ww? Bei yako ikoje?Ukitaji mbuZi kwa wingi na kwa bei rafiki nione