msigazi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 456
- 330
Habari za leo. Nimeamua kuwa mfugaji wa mbwa lakini nimepata changamoto kidogo, mbwa amegoma kula siku mbili sasa.
Mwenye utaalamu anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye utaalamu anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app