chrisman49
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 351
- 77
Habari wataalamu,
Naomba kujua kama kuna namna bora kabisa ya kufanya mayai yasiharibike kwa maeneo yenye joto kali kama Dar es Salaam wakati wa kuatamiwa.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua kama kuna namna bora kabisa ya kufanya mayai yasiharibike kwa maeneo yenye joto kali kama Dar es Salaam wakati wa kuatamiwa.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app