Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nataka niuze Mbuzi Arusha naweza kupata wateja? naomba mwongozo wale wazoefu wa biashara hii
4 Reactions
3 Replies
429 Views
Habari za jioni wana JF. Katika kutafuta fursa za kimaisha baada ya kustaafishwa rasmi na Trump 😃😄😁😀. Niliwasiliana na jamaa yangu mmoja ambaye naye amestaafishwa na Trump ambaye alikuwa...
9 Reactions
76 Replies
6K Views
Huu ugonjwa unaopelekea kuku kupinda shingo kuelekea kushoto au kulia husababishwa na nini? Pia nini tiba yake?
2 Reactions
18 Replies
10K Views
https://youtu.be/EA1vMZRRktQ?si=Cb1kvCI2ybwJO36n KUTOKA MWANZA: Safari ya Mabadiliko kwa Mfugaji wa Kuku wa Mayai! 📍 Mwanza | 🐔 Mashamba Mawili | 💡 Ushauri wa Kitaalamu Juzi tulipata nafasi ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wafugaji wadogo sasa wanatumia mashine za kutoa manyoya ili kuokoa muda, kupunguza kazi ngumu na kudumisha usafi. 💡 Kutumbukiza kuku kwenye maji moto kisha kwenye mashine na mara moja, kuku yuko...
0 Reactions
0 Replies
236 Views
Nimewaacha kuku wangu wakiwa vizuri kabisa ile nimetoka kidogo nimekuta wamekufa wote sasa itakuwa nini wakuu??
1 Reactions
56 Replies
2K Views
Ninapoishi kumezuka huu ugonjwa wa kuku kujaa mafuta mengi mwilini hadi kushindwa kula na kufa kabisa. Kama akichinjwa kabla hajafa akipikwa hutoa mafuta mengi wastani wa mils 100 na kuendelea...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
🟩 FAIDA ZA KUMKAUSHA NG’OMBE NA MUDA SAHIHI WA KUMKAUSHA 🐄 --- ✅ MUDA SAHIHI WA KUMKAUSHA Ng’ombe hukaushwa wiki 8 (siku 60) kabla ya kuzaa. Huu ni muda unaotosha kumpumzisha na kujiandaa kwa...
4 Reactions
9 Replies
779 Views
Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake mni chakula cha mifugo na yanatumika pia...
25 Reactions
399 Replies
262K Views
Kama wafugaji tunataka: Pesa zaidi, stress kidogo. Muda zaidi, usumbufu kidogo. Uhuru zaidi, mashaka kidogo. Hapo ndipo Fuga App inapokusaidia. Inakusaidia kupanga gharama, kufuatilia ratiba...
1 Reactions
3 Replies
321 Views
Jamani habarini tena! Napenda kusaidiwa kwa wazoefu juu ya hili jambo, je eneo la robo ekari linatosha kwa kuanzia UFUGAJI WA NGURUWE.?
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Anonymous
Nianze kwa kupongeza JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa kweli mnastahili pongezi kubwa. Mimi nina ombi moja, ninaomba nisaidieni kuuliza swali kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe pamoja...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya Leo napenda kuwaletea kuhusu elimu ya kukata meno kwa nguruwe --- 📌 Elimu kwa Wafugaji – Faida za Kukata Meno kwa Nguruwe (Piglet) Karibu sana...
2 Reactions
2 Replies
494 Views
Unataka kufuga kwa faida kubwa lakini changamoto zimekuwa nyingi? 👉🏾 Chakula cha mifugo ni gharama, magonjwa yamekuwa kikwazo, au hujui ujenzi sahihi wa banda/bwawa? Sasa ni muda wa kubadilisha...
2 Reactions
13 Replies
603 Views
Ni kwa zaidi ya miezi sita sasa namba za huduma kwa wateja za TARI za kanda zote hazipatikani. Pili website ya TARI kuto-update uwepo wa mbegu mpya unaweza ukakuta mbegu mpya kwenye PDF ila kwenye...
3 Reactions
2 Replies
359 Views
Unajua? Njia ya matone ya macho ni moja ya njia bora zaidi kulinda vifaranga wako dhidi ya kideri (Newcastle Disease) — ugonjwa hatari unaoweza kuua hadi asilimia 90% ya kuku wako. Kwa nini...
0 Reactions
2 Replies
377 Views
ZIFUATAZO NI MBINU ZA ASILII ZA KUPAMBANA NA WADUDU KWENYE MIMEA. 1.PILIPILI KALI Hii ni Moja ya dawa asili ambazo zimekuwa zikitumika na kuleta matokeo Mazuri sana. JINSI YA KUTENGENEZA...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Mdau wa Mtandao wa X zamani Twitter, kwa jina Swed Junior, aliibua swali la kuvutia kwenye mtandao: "Kwa nini watu wanawekaga mawe juu ya matikiti wakiwa shambani?" Swali hili lilivuta hisia na...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana Jamii Forums, Kama wewe ni mfugaji wa kuku au unapenda kujaribu idea mpya ili kukuza ufugaji wako kuwa wa kibiashara inayolipa, basi hii post ni kwa ajili yako. Leo nakushirikisha...
3 Reactions
3 Replies
731 Views
FAIDA ZA MKOJO WA SUNGURA KWENYE KILIMO Sungura hufugwa kwa ajili ya kutupatia nyama ambacho Ni kitoweo kizuri na muhimu Sana. Hivyo wafugaji wengi Sana hujipatia kipato kizuri kupitia ufugaji wa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom