Habari za jioni wana JF.
Katika kutafuta fursa za kimaisha baada ya kustaafishwa rasmi na Trump 😃😄😁😀.
Niliwasiliana na jamaa yangu mmoja ambaye naye amestaafishwa na Trump ambaye alikuwa...
https://youtu.be/EA1vMZRRktQ?si=Cb1kvCI2ybwJO36n
KUTOKA MWANZA: Safari ya Mabadiliko kwa Mfugaji wa Kuku wa Mayai!
📍 Mwanza | 🐔 Mashamba Mawili | 💡 Ushauri wa Kitaalamu
Juzi tulipata nafasi ya...
Wafugaji wadogo sasa wanatumia mashine za kutoa manyoya ili kuokoa muda, kupunguza kazi ngumu na kudumisha usafi.
💡 Kutumbukiza kuku kwenye maji moto kisha kwenye mashine na mara moja, kuku yuko...
Ninapoishi kumezuka huu ugonjwa wa kuku kujaa mafuta mengi mwilini hadi kushindwa kula na kufa kabisa.
Kama akichinjwa kabla hajafa akipikwa hutoa mafuta mengi wastani wa mils 100 na kuendelea...
🟩 FAIDA ZA KUMKAUSHA NG’OMBE NA MUDA SAHIHI WA KUMKAUSHA 🐄
---
✅ MUDA SAHIHI WA KUMKAUSHA
Ng’ombe hukaushwa wiki 8 (siku 60) kabla ya kuzaa.
Huu ni muda unaotosha kumpumzisha na kujiandaa kwa...
Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake mni chakula cha mifugo na yanatumika pia...
Kama wafugaji tunataka:
Pesa zaidi, stress kidogo.
Muda zaidi, usumbufu kidogo.
Uhuru zaidi, mashaka kidogo.
Hapo ndipo Fuga App inapokusaidia.
Inakusaidia kupanga gharama, kufuatilia ratiba...
Nianze kwa kupongeza JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa kweli mnastahili pongezi kubwa.
Mimi nina ombi moja, ninaomba nisaidieni kuuliza swali kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe pamoja...
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya Leo napenda kuwaletea kuhusu elimu ya kukata meno kwa nguruwe
---
📌 Elimu kwa Wafugaji – Faida za Kukata Meno kwa Nguruwe (Piglet)
Karibu sana...
Unataka kufuga kwa faida kubwa lakini changamoto zimekuwa nyingi?
👉🏾 Chakula cha mifugo ni gharama, magonjwa yamekuwa kikwazo, au hujui ujenzi sahihi wa banda/bwawa?
Sasa ni muda wa kubadilisha...
Ni kwa zaidi ya miezi sita sasa namba za huduma kwa wateja za TARI za kanda zote hazipatikani.
Pili website ya TARI kuto-update uwepo wa mbegu mpya unaweza ukakuta mbegu mpya kwenye PDF ila kwenye...
Unajua? Njia ya matone ya macho ni moja ya njia bora zaidi kulinda vifaranga wako dhidi ya kideri (Newcastle Disease) — ugonjwa hatari unaoweza kuua hadi asilimia 90% ya kuku wako.
Kwa nini...
ZIFUATAZO NI MBINU ZA ASILII ZA KUPAMBANA NA WADUDU KWENYE MIMEA.
1.PILIPILI KALI
Hii ni Moja ya dawa asili ambazo zimekuwa zikitumika na kuleta matokeo Mazuri sana.
JINSI YA KUTENGENEZA...
Mdau wa Mtandao wa X zamani Twitter, kwa jina Swed Junior, aliibua swali la kuvutia kwenye mtandao: "Kwa nini watu wanawekaga mawe juu ya matikiti wakiwa shambani?" Swali hili lilivuta hisia na...
Habari wana Jamii Forums,
Kama wewe ni mfugaji wa kuku au unapenda kujaribu idea mpya ili kukuza ufugaji wako kuwa wa kibiashara inayolipa, basi hii post ni kwa ajili yako.
Leo nakushirikisha...
FAIDA ZA MKOJO WA SUNGURA KWENYE
KILIMO
Sungura hufugwa kwa ajili ya kutupatia nyama
ambacho Ni kitoweo kizuri na muhimu Sana.
Hivyo wafugaji wengi Sana hujipatia kipato
kizuri kupitia ufugaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.