Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wanaJF, hapo nimekosea wap kwenye picha hapo chini
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Habari za jioni wadau....kuna sim mpya imenunuliwa Hong Kong imekuja mpya kabisa lakini haina Google services, aplication zone zilizobaki zinakubali apart from application za Google services...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!! Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe. "zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Hello I need someone who can make apps tufanye project. Great if ur in tanga good if u are in dar. PM please
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habarini wandugu, naomba msaada wa software inayoweza ku unlock huawei E8231s-1 wingle modem.
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Wakuu habari ninataka kununua mojawapo ya simu hizo ushauri ipi ni nzuri zaidi based on speed durability memory na charge??
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nahitaji huduma ya seo optimizer kwa ajiri ya blog..kwa mwenye utaalmu anipm tufanye kazi
1 Reactions
6 Replies
846 Views
Wanajamvi naomba msaada au ushauri, Hivi inawezekana au kuna apps zinazoweza kupokea au kuzipata sms na calls zinazoingia katika simu nyingine bila mwenye hiyo simu nyingine kujua kuwa kuna mtu...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wapendwa, kama kuna mtu yupo hapa mwanza ana hiyo receiver au anajua zinapotikana aniambie nnaihitaji sana kwa bei isiyozidi 70000
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Angalia inavyoonekana kwa sasa katika screenshot hapa chini Nzwezaje kulitatua tatizo hili?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wadau naombeni msaada mnijuze juu ya bei halisi ya phantom 6 iliyozinduliwa hivi karibuni kwa shilingi za kitanzania.... nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu Nilitoka kidogo kwa muda kama wa miezi sita hvi sasa leo nimerejea hapo Nyumbani kusabahi ndugu jamaa na rafki na kujumuika nao holiday hii wakati naondoka halotel ilikuwa ni H+ plus muda...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kifaa hiki kimefanikiwa kupokelewa na mtandao wa JAMECO,Ambapo kifaa hiki kitatengenezwa kwa packaging nzuri na kuuzwa kote duniani Kifaa hiki kwa mara ya kwanza kilichapishwa HAPA Baadae...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habar zenu. Nilinunua iphone 6 yapata miez mitatu sasa, jana tarehe 27 nov imepata ajali kioo kimepasuka. Nomba kuuliza kama naweza fanyia repairing na itacost sh ngap kwa kioo au kama...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza cm nokia lumia 525 kwa bei poa ya sh 120000. Cm ina internal memory na extenal memory. Internal ina 7gb. Extenal ina 2gb Pia inakamera kali sana. Njoo inbox au piga 0657623266
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Wana jamii naomba mnijuzee kuhusu hilii, natanguliza shukrani zanguu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu salaam ipo hivi, kuna ndugu yangu ameitwa mbele za haki sasa muda huu tunaandaa wasifu wake lkn kikwazo kimoja ni kwamba documents zake zote kuhusu elimu na mambo mengine yapo ktk pc kwahyo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwanza habari zenu wana JF Nahitaji msaada wenu, niliroot tecno J5 ikakaa poa ila nikahitaji kui Unroot na nilipo jaribu kui unroot imekua ikiwaka inaishia tu pale linapokuja neno tecno mpaka...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Ni karibu miezi miwili iliyopita tangu kampuni inayoaminika sana ya Samsung kutangaza kuondoa toleo moja sokoni la Galax note 7, Kampuni hiyo Ndiyo kampuni niliyoiamini zaidi, lakini kabla ya...
1 Reactions
55 Replies
7K Views
Habari !wakuu ningependa share nanyi kujua ipi katika ya foaud na gbwhatsapp bora zidi na kipi kimekuvutia kati ya gbwhatsapp na foaud.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…