msaada kuhusu password

msaada kuhusu password

Betason

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
388
Reaction score
705
wakuu salaam

ipo hivi, kuna ndugu yangu ameitwa mbele za haki sasa muda huu tunaandaa wasifu wake lkn kikwazo kimoja ni kwamba documents zake zote kuhusu elimu na mambo mengine yapo ktk pc kwahyo tunahitaji kupata password lkn imeshindikana

ombi langu kwa wataalam wa IT, tunawezaje kutoa hii pasword bila kufanya hard reset ambayo itafuta documents zote

ntashukuru sana nikipata msaada wakuu
 
wakuu salaam

ipo hivi, kuna ndugu yangu ameitwa mbele za haki sasa muda huu tunaandaa wasifu wake lkn kikwazo kimoja ni kwamba documents zake zote kuhusu elimu na mambo mengine yapo ktk pc kwahyo tunahitaji kupata password lkn imeshindikana

ombi langu kwa wataalam wa IT, tunawezaje kutoa hii pasword bila kufanya hard reset ambayo itafuta documents zote

ntashukuru sana nikipata msaada wakuu
kama upo serious kikazi nicheki p.m tufanye kazi.. naweza kuondoa password zote za bios na za kwenye operation system( za microsoft not macbook)
 
Kama ni Computer za Apple,sahauni. Hamuwezi kutoa hiyo Password. Ila kama ni zingine,nenda kwa wataalamu walio karibu nawe.

Poleni sana Ndugu na Mungu amlaze mahali panapostahili ndugu yetu.
 
Kama ni Computer za Apple,sahauni. Hamuwezi kutoa hiyo Password. Ila kama ni zingine,nenda kwa wataalamu walio karibu nawe.

Poleni sana Ndugu na Mungu amlaze mahali panapostahili ndugu yetu.
amina mkuu..pc ni dell
 
Kama unakijua Kingereza hebu soma hapa Mkuu.

Method 1: Reset Dell PC/laptop password on safe mode- For Windows XP
If the system installed on your Dell PC is Windows xp, you may recover the lost password easily. When Windows xp is installed, a default account named Administrator with blank password is created at the same time. So we can unlock other account’s password by the administrator account. By default, the Administrator is not display on welcome screen. We can try the following ways to login with administrator account:
Boot you windows from safe mode (press F8 when windows start). At welcome screen, the Administrator account will appears.
Boot windows to welcome screen (normal startup), press CTRL+ALT+DEL to bring out classic logon screen, input “Administrator”, and leave password field empty, and then press Enter to login.
 
Mtaalamu ya Na mm nilisahau password ya FB na recovery Email sikumbuki password yake...?Utaweza nisaidia????
inwezekana kurecover pass via number ya simu.........kama number ya simu na yenyewe umesahau budo kuna possibilty ya kurecover as long as account kweli account ni ya kwako
 
Back
Top Bottom