Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau, Ni brand gani ya headphone au earphone zina midundo yenye ubora wa hali ya juu kwa kusikilizia muziki au audio ambayo haichoshi masikio hata ukitumia kwa muda mrefu,yenye uwezo wa kuondoa...
7 Reactions
263 Replies
22K Views
Hii video hapa inaonyesha namna AI inavyosambaza dawa hospitalini. Taaluma ya unesi itakumbwa na dhoruba. Manesi watapungua sana idadi, maana kwa kweli zaidi ya 75% manesi hutumia muda mwingi...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Habari zenu ndugu na mnaendeleaje na hali huko mliko? Niende moja kwa moja kwenye mada naomba msaada WA kuweza kuficha app kwenye simu YA android huku inafanya kazi. Na jee nawezaje kuifichuwa...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
𝗔𝗰𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗧𝗶𝗸𝗧𝗼𝗸 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗮𝗽𝗽 𝗶𝗻𝗮𝗶𝘁𝘄𝗮 𝗫𝗶𝗮𝗼𝗵𝗼𝗻𝗴𝘀𝗵𝘂 𝗶𝗻𝗮𝘄𝗮𝘂𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝘄𝗮𝗺𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶 Wachina wanazidi kuwahumiza vichwa marekani 🥱 Baada ya TikTok kuwa kwenye mpango wa kuondoshwa, watumiaji wa marekani...
3 Reactions
7 Replies
959 Views
Wakuu mko salama Iwe application ya simu, desktop application, web systems zote hizi nazitengeza... Cost za server na bundle ni juu yako application ikikamilika ndo tutagawana faida
2 Reactions
8 Replies
592 Views
Salam wakuu, Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto...
3 Reactions
64 Replies
6K Views
Ugeni wa mambo bila maarifa umeliza wengi naombeni mnisaidie kupunguza hasara, Nawezaje kukagua graphivs card ya NVIDIA ni feki au original
5 Reactions
12 Replies
594 Views
Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo, naomba mwenye kufahamu niwapi nitapata cheapest domain. Pia,ninahitaji kujua mfumo mzima kama hosting inakuaje na gharama zake.
2 Reactions
9 Replies
893 Views
Wanangu wa JF niwaambie tu hatimae nimenyaka VPN speed ya 4G movie ya MB 800 dakika 10 jina VPN kapuni msije kuchoma..
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Hivi ndugu zangu hizi simu za mjapani naona zinakuwa trend sana huku huu mwaka mwishon hapa Niambien zina ubora huo zinaopigiwa promo Camera Waterproof Battery inatunza moto Storage yake. Ya...
5 Reactions
98 Replies
17K Views
Kwa tuliofanikiwa kuwekeza katika platform hii mpya gwec tukutane hapa kwa ajili ya update mbalimbali
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau wa Jamiiforums Habari za wakati huu. Na leta kero yangu kwenu kuhusu WhatsApp yangu kusumbua mara kwa mara. Usumbufu unatokana kuwa log out kwa madai ya account yangu kuhusishwa na spam...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana Jf. Kuna issue imenitokea week iliyopita nimeenda kariakoo kununua Smart tv TCL inch 32 Tshs 380000; imejaribiwa ikawaka vizuri nikafanya malipo nikaondoka. Kufika...
3 Reactions
10 Replies
771 Views
𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼 𝘄𝗮 𝘁𝗶𝗻𝗱𝗲𝗿 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 Wimbi la watumiaji wa mtandao wanawake kwa wanaume wanatafuta wapenzi inazidi kushika Kasi nchini Tanzania 🤔 Imekuwaje???👋 Kuna tabia kubwa inazidi...
9 Reactions
110 Replies
7K Views
naomba mwenye key za kuresset ink pad za Epson L3250
1 Reactions
3 Replies
465 Views
Habari.. naombeni msaada jinsi ya kubadilisha subtitle kwenye chanel mfano kuna chanel inaitwa Mbc 2 hawa wanaweka muvie nzuri ila tatizo subtitle zao zipo kwa rugha ya kiarabu…
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers. Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior...
9 Reactions
147 Replies
5K Views
Habarini wakuu. Kuna hawa watu hupost picha/video za kuchekesha kufundisha kuburudisha na vinginevyo katika mitandao kama vile YouTube Instagram Tik Tok nk. Akili yangu inaniambia hii ni...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Wadau habari za saa hizinatumai wazima wa afya kama kuna mgonjwa augue pole. Niende niende moja kwa moja kwenye mada yangu Ni hivi yaani kila nkiingia kwenye Gmail yangu upande wa social naona...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥 💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 55,000 Tu! 💥 1️⃣ 25 NVMe SSD Storage 2️⃣ Free Website Migration/Transfer 3️⃣ Maximum Speed (Up to 3x) 4️⃣ Kama Unaitaji...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom