𝗝𝗔𝗣𝗔𝗡 𝗜𝗠𝗘𝗥𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗪𝗔𝗧𝗔𝗙𝗜𝗧𝗜 𝗞𝗨𝗨𝗠𝗕𝗔 𝗕𝗜𝗡𝗔𝗗𝗔𝗠𝗨
Dunia na maajabu yake!! 👋
Nchini Japan mwaka 2019 waliweza kupitisha Utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kuumba Wanadamu.
Mfumo huo...
Habari zenu wakuu…
Naomba Leo tuongee kuhusu mambo haya ya programming, kwa maana watu wengi huwa wanahisi programming ni ngumu na hii yote ni kutokana na kutokujua msingi na dhima ya programming...
Mimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu...
Kwa sababu hiyo app ndio inasababisha simu za iphone zionekane ni mbovu kwa sababu ya kufunguliwa mara kwa mara, kwaajili ya kubadilisha battery unakuta fundi kwa bahati mbaya amekanda mikanda
Na...
Wakuu kwema
Nafundisha Programming kwa bei rahisi saana nafundisha language zifuatazo.
1.PHP
2.JAVASCRIPT
3.HTML
4.CSS
5.REACT NATIVE IN DEEP DOWN
6.EXPRESS JS
7.LARAVEL IN DEEP DOWN...
Wataalamu,nilikuwa nauliza inawezekana
kutengeneza mfumo kwa kutumia WordPress kwa ajili ya kuplace order!
Unahizi functionalities!
• Wafanyakazi wa ofisi wanaweza kuweka maombi(order...
Hope mko poa.
Now days mambo yamekua marahisi sana tuna autosourcing nyingi za kujifunza ila tatizo ni kuchagua Luga sahihi kwa mda sahihi
Sasa leo nataka nikuandike lugha za kujifunza ...
𝗦𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝟲 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗹𝗲𝗼 𝘂𝘀𝗶𝗸𝘂
Kwenye page ya @picabuzz , katika siku chache zilizopita walifanikiwa kunasa picha nzuri yenye kupendeza wakati wa siku baada ya kuona sayari zote ziliweza...
Wakuu wana Tech
Nilinunua shamba 2019 ekari 12 Sasa kuna wahuni ninaopakana nao naona kila nikienda nakuta wamehamisha mpaka hata nikipanda miti wanang’oa na kuisogeza shamba linazidi kupungua tu...
Salaam,
Nawaza, Je naweza kuungalisha speaker ya JBL Boombox2 kwenye redio ya gari? Lengo ni kuongeza hiyo speaker kwenye idadi ya speaker za gari. Msaada tafadhali.
Baada ya kuona review kadhaa nimeona nifungue account ds. Sasa Code niliotumiwa nikiingiza inasema invalid code. Nimejaibu mara ksdhaa bado imegoma. Baadhi ya system huwa code no ikigoma huwa...
Habar wakuu,
Naomba msaada wenu nataka kufunga CCTV camera 16 naomba maelekezo kampuni ya camera zipi Zina onyesha picha angavu mchana na usiku kati ya DAHUA,HIK VISSIOn.
Natakiwa ninunue nin...
Simu tajwa nikiichaji inaleta Alama ya pembe tatu rangi ya njano. Sijui tatizo nini? Kuna vitu vyangu kibao nataka kuhamisha msaada wajuzi. Na chaji haingizi.
Wakati wengi wanakubali kuwa Akili Mnemba (AI) ina uwezo wa kuleta mapinduzi ya viwanda na kuboresha maisha, kuna wasiwasi unaoongezeka juu ya athari za kimaadili na usalama wa maendeleo yake ya...
Kwema wakuu??Ni ipi online application nzuri naweza pata kusikiliza Radio za hapa nyumbani??Maana npo naishi bondeni huku hata Radio hazishiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu, nina simu yangu samsung A13 nimeanza michezo wa kufuta majina niliyoyapost jana na miezi 6 iliyopita.
Naombeni msaada wenu tafadhali I kwa anayejua msaada please
Asanteni
𝗠𝗮𝗺𝗯𝗼 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝘇𝗮 𝘆𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮𝘆𝗼𝘁𝗼𝗸𝗲𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟱
Kama mpenzi wa masuala ya Anga basi mwaka huu 2025 kutakua na matukio mengi ya kushangaza ambayo utaweza kuyaona live kwa macho yako.
Haya ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.