Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jinsi ya Kuzalisha Umeme wa Upepo na Umeme wa Jua kwa Kutumia Treni Ikiwa Kwenye Mwendo wa Kasi Kutumia treni za mwendo wa kasi kuzalisha umeme wa upepo na umeme wa jua ni wazo la kiubunifu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna wakati Mwaka 2019 nilitumia TCL TV ikiwa na builtin Decorder DVB T/T2 na ilikuwa nikiunga antenna napata channel mbalimbali Bure. Ni muda Sasa TV hiyo Toka iharibike. Sasa katika uchunguzi...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kampuni ya rockstargames imetoa Tarehe Rasmi ya kuachiwa kwa game mpya aina ya grand theft auto GTA 6 ambapo itaachiwa 26 Mei 2026 Mwakani. Wengi walitegemea itaachiwa mwaka huu lakini kampuni...
3 Reactions
5 Replies
483 Views
IoT: Teknolojia Inayounganisha Vitu na Maisha Yetu Katika dunia ya sasa inayozidi kushikiliwa na teknolojia, kumekuwepo na mabadiliko makubwa ya kiteknolojia yanayobadilisha namna tunavyoishi...
0 Reactions
1 Replies
342 Views
1.Wakuu naomba kujua hii huduma ya Wi-Fi inafanya kazi vipi? 2. Simu yangu ni Nokia E5 je hiyo huduma inafanyakazi?
1 Reactions
28 Replies
9K Views
Jamani anaejua kuscrape telegram group members Contact na kwenda kuzipang kwenye excel vizuri, toa neno hapa, tuongee biashara
1 Reactions
9 Replies
696 Views
Sasa naamini wengi watakuwa na access ya mtandao zaidi kwa Bongo. Modem ya Zantel ni Tshs 150,000/= na ya Zain ni Tshs 60,000/= Zantel: Monthly 2GB - 10,000/= 8GB - 50,000/= ZAIN: Weekly 3GB...
1 Reactions
71 Replies
10K Views
Kwenye dunia ya leo ya kidigitali, WhatsApp siyo tena app ya kuwasiliana tu na marafiki — ni fursa ya biashara. Ukiitumia vizuri, unaweza kujenga audience kubwa ya watu wanaoaminika, wanaojali...
3 Reactions
3 Replies
710 Views
The rollout will cover Nigeria, Kenya, Malawi, Madagascar, Zambia, Rwanda, Niger, Chad, and the Democratic Republic of Congo, all markets where Airtel is already active Wakuu Hii deal leo Airtel...
0 Reactions
5 Replies
522 Views
Habari Nina uhahitaji wa micro-controllers, sana sana EPS32, yoyote aliyenazo au anajua zinapopatikana kwa hapa Tanzania , anipe muongozo. Asante
0 Reactions
5 Replies
387 Views
Hili ni jiko la umeme na la kisasa ,ambalo ni fanisi, linatumia umeme kidogo SANA, linapika haraka mara mbili zaidi ya gesi na ni salama kutumia, ni JIKO JANJA kwa sababu ni la kutachi kama...
6 Reactions
62 Replies
27K Views
Samsung Galaxy One UI, sio jina geni kulisikia, si ndio? Hii ni software inayotumika kwenye simu na tablet za kampuni ya Kikorea Samsung. Samsung walipoanza kutengeneza simu mwaka 2008 walikuwa...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Jinsi Teknolojia Inavyoboresha Maisha ya Watu Wenye Ulemavu Katika dunia ya leo ya kidijitali, teknolojia si tu nyenzo ya maendeleo bali pia mkombozi mkubwa kwa watu wenye ulemavu. Iwe ni ulemavu...
3 Reactions
2 Replies
306 Views
Unapo poteza simu na kuacha ku block ile line kinachofanyika yule aliechukua simu iliyopotea anatoa line kisha anaenda kwa mtu anae sajili line ambao tumewaona wengi sana mtaani na mashine zao...
18 Reactions
30 Replies
2K Views
Tajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee. Kwa sasa, inachukua masaa 16...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Drones Tanzania: Fursa Zake Katika Kilimo na Usimamizi wa Maafa Katika dunia ya sasa, teknolojia ya drones (ndege zisizo na rubani) imekuwa chombo muhimu si tu kwa shughuli za kijeshi bali pia...
2 Reactions
1 Replies
475 Views
China ni balaa miezi mitano ndani ya mwaka 2025 inatikisa ulimwengu 💡 China ndani ya Miezi mitano TU ya mwaka 2025 inaoongoza kwa kutoa na kuzalisha viwanda. Katika miaka ya hivi karibuni...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, ni mda sasa sijapost kitu kuhusu blockchain and cryptocurrency ila leo nikapata idea nikaona nilete uzi mwingine unaoelezea kuhusu blockchain and cryptocurrency. Huenda ukawa...
2 Reactions
3 Replies
636 Views
Habari ndugu zangu wa JF natumaini mnaendelea vyema kabisa hasa kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani kwa ndugu zetu waislamu na Kwaresma kwa ndugu zetu wakristo wakatoliki. Leo nataka kuendelea...
1 Reactions
2 Replies
693 Views
TZ Mobile Number Lookup ni aplikesheni inayokuruhusu kutambua papo hapo opereta wa mtandao wa simu anayehusishwa na nambari yoyote ya simu ya Kitanzania. Ingiza tu nambari, na programu itaonyesha...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom