Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimetumiwa link ambayo ni video clip sasa nataka ni download iingie kwenye simu kama video zingine nafanyaje wadau https://youtube.com/clip/Ugkx_ViWoPek1CWrvf5neyJnxVdvI-ySK50H?si=6m-ykzOiXRW6R2MO
0 Reactions
5 Replies
364 Views
PART 2 EP01 Tuijue Laptop Na Tuifungue Kisha Tuifunge. Wasalaam Wanandugu: Tumekutana Tena Katika Darasa Letu Huru La Laptop Repair, Na Part 2 Hii Tutakuwa...
23 Reactions
74 Replies
14K Views
Habari! DVD yangu moja imegoma kusoma/haisomi. Nifanye nini kuisoma tena?
0 Reactions
2 Replies
260 Views
Kuna some people nimepoteza contacts zao ila nina picha zao nahitaji kuwapata kupitia facial recognition
3 Reactions
24 Replies
877 Views
Wakuu nina 350k. Naomba ushauri wenu ninunue simu gani kwa hela hii. Simu inayokaa na chaji na ina designe nzuri pia isiwe single line.
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Dunia imebadilika. Teknolojia haiko tena kwa matajiri au mataifa makubwa tu—imeingia mitaani, vijijini, hata mifukoni mwetu kupitia simu za mkononi. Na katika mabadiliko haya, vijana wa Afrika...
2 Reactions
0 Replies
313 Views
Tangu kasi ya 4G ianzishwe, hakuna brand hata moja ya kiafrika iliyotoa simu ya 4G yenye betri kuanzia 5000mAh, kwa mara ya kwanza, Itel Mobile imeweka historia hiyo kwa kutangaza simu ya 4G yenye...
3 Reactions
75 Replies
23K Views
Al ipo kwa kasii sana Windsurf, cursor, trae etc zipo nyingi ipi umewahii kutumia unaweza kutoa suggestions kwa wale ambao wapo kwenye game ya software development itasawasidiaa.
2 Reactions
8 Replies
545 Views
Hello, Guys najua wafanya biashara wengi sana hawana website na wanafikiri kuwa kwao kuwa na website yake (Online Store) kama haina umuhimu au kuona kuwa kumiliki website mpk uwe na biashara...
1 Reactions
2 Replies
482 Views
Wapenzi na wadau wa Samsung. Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra. Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24...
7 Reactions
24 Replies
3K Views
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza. Nahitaji wataalam wanisaidie please. Kwa sasa nina Smart Tv hii ipo Sebuleni. Nahitaji kununua Tv nyingine kwa ajili ya Chumbani. Angalau nipate 60"...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Ya DSTV mafundi wanadai kwa sababu ilitumia kitambo ndio maana ilipoteza software, inaandika booting waiting for some times. kila mara booting, naomba ushauri nirudishe au kama inatibika...
1 Reactions
14 Replies
651 Views
SpaceX mara ya kwanza walikuwa na madhumuni ya vyombo vyao vitakuwa vikifanya safari ya kwenda sayari ya marsi. Ila kwa pesa walizoweka na mikopo jamaa kaona kwanza huduma za kutumia vyombo vyake...
2 Reactions
4 Replies
380 Views
Habari zenu wadau. Nilikua nauliza wadau Je ukiwa Hapa Tanzania inawezekana kufany manununuzi ya games mbalimbali ktk ps store.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini. Naomba Msaada Nilingia Akaunti ya Instagram nambiwa hivi.
4 Reactions
22 Replies
1K Views
💡China wako mbele ya muda Aiseeeh!!!!! 💭 China imefanikiwa kuweka rekodi ya kipekee ulimwenguni baada ya kuwa nchi ya kwanza kujenga nyumba ya ghorofa 10 yenye ndani ya saa 28 imekamilika na...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wana Technology, Nipo Dar, nilipenda kupata huduma ya unlimited kwa Vodacom. Kabla ningependa kujua kwa wanaotumia, wana maoni gani kuhusu huduma hii. Na pia kulingana na ufuatiliaji...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Wale wapenda game ni wasanue tu kuhusu mambo ya biashara yalivyo. Makampuni yamekuwa konde boy sasa kila kukicha kuachia kitu kipya wabaki kushindana kwenye soko. Nimefatilia kwenye mijadala ya...
3 Reactions
2 Replies
350 Views
Habari wadau na wataalamu wa masuala ya software. Mimi ni mwalimu ambaye natafuta Online Examination Software kwa ajili ya wanafunzi wangu kufanya test/mitihani online kwa kutumia Simu au tablet...
2 Reactions
0 Replies
303 Views
Wakuu salam. Mimi ni mwanafunzi wa Electronics and Telecommunication Engineering DIT ,Naomba yeyote mwenye connection na kampuni inayojihusisha na mawasiliano ama Taasisi zenye idara ya...
1 Reactions
1 Replies
300 Views
Back
Top Bottom