Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Niaje wadau kwa hali ya sasa maendeleo ya tech ni makubw san kama una weza design blog au web kwa kutumia Ai ,do you think guys kaz za web designers zitakuwa hatarin?
1 Reactions
2 Replies
328 Views
Ni katika wakati ambao nilikuwa nawaza ni kwa namna gani nitaweza kukusanya michango ya ahadi kutoka kwa marafiki zangu walio mbali au nje ya nchi kwa njia rahisi kwa shughuli hiyo na ndipo...
9 Reactions
8 Replies
3K Views
Trump aliwapiga nyundo Huawei mwaka 2019, Hii ilipelekea makampuni kama google kuikataza Huawei kutumia huduma zao kama Playstore. Huawei wakaachana na android wakaamua kutumia System yao inaitwa...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Nina friji iliyokua inaleta tatizo la kuongezeka sauti kadri inavyozidi kufanya kazi, ukiliwasha linaanza silence kama kawaida ila baada ya muda inaongeza sauti. Ila uwezo wake wa kupoza ni...
9 Reactions
66 Replies
2K Views
AI Platform Evaluator: Requesty AI vs OpenRouter AI Role: Act as a senior AI infrastructure analyst with expertise in evaluating AI routing platforms, API management systems, and language model...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
FANYA HIVI KUBADILISHA PICHA ZAKO KUWA KATUNI FASTER 🔥🔥 Je Unapenda pixha zako ziwe Katuni wa kipekee na kupendeza ?? Leo nakufundisha Tena jinsi ya kuunda picha zenye muundo wa Katuni kupitia...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Hi? DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda...
6 Reactions
78 Replies
3K Views
Nahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
2 Reactions
17 Replies
946 Views
Msingi ule ule, lugha mpya, Java ni mama, Kotlin ni mwana, Ukikumbatia mabadiliko, Kotlin utamkimbiza bila wasiwasi. Kotlin is currently the best though people who don't want revolution in tech...
0 Reactions
3 Replies
279 Views
Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi kupanda na iPhone mpya kila September! Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16. Simu...
13 Reactions
105 Replies
8K Views
Unatumia Laptop Dhaifu kwa Kazi Nzito? Hii Ni “Unsanitary” kwa Biashara Yako — Na Hizi Ndizo laptop Salama Zaidi Mwaka Huu Na Muonekano wa kisasa. Bei rahisi. Lakini ndani ni balaa. Hivyo ndivyo...
3 Reactions
2 Replies
413 Views
Mzuka wana Jamvi.. Siku hizi Wasap kumezuka mtindo wa hata watu ambao hamfahamiai nao kukutag kwenye grupu kuview status zao na mara nyingine bila hata kupenda na kutarajia unakuta unaview sasa...
1 Reactions
6 Replies
682 Views
Tumekuwa tukisikia habari au taarifa nyingi sana kuhusu cryptocurrency na blockchain. Neno Bitcoin limekuwa likitawala kwenye vinywa vya wengi, hususan vijana na wafuatiliaji wa teknolojia, lakini...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Apps za Simu kwa Ajili ya Afya (Tanzania 2025). Katika zama hizi za kidijitali, simu janja zimekuwa zaidi ya mawasiliano—zinasaidia hata kwenye afya zetu. Hizi hapa ni baadhi ya apps mpya au...
2 Reactions
2 Replies
654 Views
🚀 Nazani mtandaoni umeshawahi kusikia kuhusu mtandao wa intaneti wa fiber sijui tigo, vodacom, ttcl, halotel, Airtel wanaunganisha na Mtandao wa fiber intaneti Majumbani, ofisini, migahawani na...
1 Reactions
2 Replies
515 Views
Coding Siyo kwa Wataalamu Tu—Ni Kwa Kila Mtu! Katika dunia ya leo inayozidi kuwa ya kidijitali, kujua misingi ya coding ni muhimu kwa kila mtu, si kwa wataalamu tu! Coding ni funguo za mafanikio...
9 Reactions
8 Replies
774 Views
China imekuwa ni taifa la pili kumiliki gati linaloelea angani karibu na dunia.Nchi ya mwanzo ni Urusi ambayo ilijenga kituo hicho kinachoitwa international space station chenye umri zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida. Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira...
2 Reactions
117 Replies
12K Views
Habari naombeni msaada wenye ujuzi na skrill akaunti yangu imezuiwa taarifa wanazozitaka kila nikituma narudishiwa email kuwa zimekataliwa sijafahamu nakosea nini mwenye uelewa zaidi anisaidie
0 Reactions
28 Replies
841 Views
Habarini wakuu,naomba nikiri mbele yenu tangu nijiunge na hii chatgbt ya what's up,imenifurahisha sana nakunipa raha rohoni kwa jinsi inavyojibu kwa umakini na ufasaha sijapata kuona!!,pia na...
14 Reactions
145 Replies
7K Views
Back
Top Bottom