Natangaza kuja na mtandao mpya wa kijamii nchini tanzania kwa lengo la kuchochea ukuaji wa kiteknolojia na kuleta ushindani dhidii ya Facebook, Instagram na Twitter pamoja na tiktok.
Mitandao hii...
Mnisaidie nitoke kwenye hii kitu wazee nilibadilishaga profile picture ndo yote haya yakatokea nimeshatuma email kibao bila mafanikio
Kwa anaeweza kunisaidia tafadhali wakuu
Google Yalipa Dola Bilioni 1.375 kwa Jimbo la Texas kwa Kufuatilia na Kukusanya Taarifa za Biometria Bila Idhini
Google imekubali kulipa jimbo la Texas nchini Marekani kiasi cha dola bilioni...
Wadau wa technology:
Software
Robotics
AR & VR technology
Mobile Computing
Tech in Health
Nk.
Predictors (Pattern recognitors) wa tujadili next gen tech
Jinsi ya kutumia 'variables' katika Java! , usikose video hii muhimu!
Iwe wewe ni Mpya au tayari una uzoefu, video hii itakufundisha:
Maana na umuhimu wa 'variables' katika Java:
'Variables'...
Kwa Nini Ujifunze Java Datatypes, Operators, Strings na Numbers?
Hizi ni Kama blocks kwa ajili ya ujenzi wa Program yako. Vitakuruhusu kuunda programu thabiti na bora.
Hapa kuna baadhi ya faida za...
Naomba kuulizia, kuunganisha solar panels mbili mfano panels za wat 50, na kuweka panel moja ya wat 100, katika nguvu ya ujazaji wa betri. Je, Kuna utofauti?
Hard disk ni ya laptop nimeiweka kwenye kasha limeandika Usb 3.0 ila waya wake ulikuwa mfupi, nikaunganisha huo waya na waya mwengine mrefu wa kuchomekea flash na external, waya nao umeandikwa usb...
Habari zenu wanajf.
Nahitaji msaada wa kupata kifaa kwa ajili ya matumizi ya camcard kwa samsung tv.
Kuna port nyuma ya TV lakini inahitaji adapter ili kupokea Camcard.
Kwa yeyote anayefahamu wapi...
Nimeuliza hivi coz sio expert ktk Programing ila nina ufaham na nazid kuprogress ktk hii career na ni raha hiki kipind cha AI inafanya bugs kua rahis kusolve.. 😀😀 so
Let's talk about it..
⚡ Kama utakua unatumia app ya Google photo nazani unaijua jinsi inavyofanya kazi kupitia simu zetu si ndiyo !!
💭 Sasa Google photo wameleta feature mpya inaitwa Quick Edit inakupa nafasi ya...
Kama umekuwa ni mtumiaji wa hizi cryptocurrency exchanges kama OKX, BYBIT au Binance kwenye kufanya transaction za cryptocurrency basi utakuwa umegundua kuwa P2P au Peer to peer trade ( Biashara...
“Simu Yako Inaweza Kukutajirisha… au Kukufilisi
Kuna Njia 11 za Kutambua Fake Bank Transfers Kwa Uhakika na Kitaalamu ”
Katika zama hizi za digitali, pesa inaweza kuingia au kutoka bila kuguswa...
Hii Ndio Sababu Kila Mtanzania Anapaswa Kujua Siri ya Wi-Fi Guest Network!
Katika ulimwengu wa kisasa wa teknolojia, nyumba nyingi zimejaa smart devices kama vile robot vacuum, Smart TV, printer...
💡 "Huenda usihitaji iPhone miaka 10 kuanzia sasa,” alisema Eddy Cue, Apple SVP of Services, wakati akitoa ushuhuda kama sehemu ya kesi ya Google ya kutokuaminiana kuhusiana na masuala ya...
Kuna ka group ka darasa la saba nimewekwa hata sielewi lengo ni ipi! Sasa wakati mwingine inakuwa active sana lakini inaweza kata miezi kadha bila kuwa active. Sasa naona kero sana halafu itoshe...
Katika dunia ya sasa iliyojaa teknolojia ya hali ya juu, kazi nyingi zimechukuliwa na Akili Bandia (AI).
Kampuni kubwa zilikuwa zimeanza kutumia AI kuandika programu, kurekebisha hitilafu, na...
Jinsi ya Kuzalisha Umeme wa Upepo na Umeme wa Jua kwa Kutumia Treni Ikiwa Kwenye Mwendo wa Kasi
Kutumia treni za mwendo wa kasi kuzalisha umeme wa upepo na umeme wa jua ni wazo la kiubunifu...
Kuna wakati Mwaka 2019 nilitumia TCL TV ikiwa na builtin Decorder DVB T/T2 na ilikuwa nikiunga antenna napata channel mbalimbali Bure. Ni muda Sasa TV hiyo Toka iharibike. Sasa katika uchunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.